BALOZI MSHANA ASHIRIKI KIKAO CHA USHOROBA WA KATI

Balozi wa Tanzania katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) Mheshimiwa Said Mshana, amemwakilisha Waziri wa Uchukuzi Mhe. Prof Makame Mbarawa katika kikao cha Nchi Wanachama wa Ushoroba wa Kati (Central Corridor) kilichofanyika jijini Kinshasa nchini DRC. Kikao hicho pamoja na masuala mengine, kuliikaribisha Zambia kuwa Mwanachama Mpya wa Ushoroba wa Kati. Zambia inakuwa mwanachama…

Read More

TCRA YAZINDUA KAMPENI YA “NI RAHISI SANA” KANDA YA KASKAZINI KUHIMIZA KUJILINDA NA UHALIFU MTANDAONI

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Kaskazini Mhandisi Francis Mihayo akizungumza wakati wa uzinduzi wa Kampeni ya Ni Rahisi Sana Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Kaskazini Mhandisi Francis Mihayo akizungumza wakati wa uzinduzi wa Kampeni ya Ni Rahisi Sana Na Mwandishi wetu- Malunde 1 blog Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya…

Read More

Kishindo cha Shinyanga mapokezi ya Nchimbi

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi amewasili na kupokelewa rasmi Mkoa wa Shinyanga, leo tarehe 9 Oktoba 2024, tayari kuanza ziara ya siku tatu katika maeneo mbalimbali ya wilaya za mkoa huo.   Balozi Nchimbi ambaye ameambatana na Katibu wa NEC – Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Ndugu Amos Gabriel…

Read More

Tumejitolea kwa dhati kwa ushirikiano – DW – 09.10.2024

Katika mahojiano maalumu na Idhaa ya Kiingereza ya DW, kwenye mkutano kuhusu nishati endelevu uliofanyika Oktoba 7 mjini Hamburg, nchini Ujerumani, rais Mbumba amesema ukame umesababisha athari kubwa nchini Namibia kwa kuwa hakuna nafaka na chakula. Ardhi imekauka sana na ameziagiza afisi za waziri mkuu, naibu waziri mkuu, waziri wa usafiri, waziri wa kilimo na waziri…

Read More

Jinsi walinda amani wa Umoja wa Mataifa wanavyokabiliana na changamoto ya kuongezeka kwa migogoro nchini Lebanon – Masuala ya Ulimwenguni

Hapa ndio unahitaji kujua kuhusu UNIFILKikosi cha Muda cha Umoja wa Mataifa nchini Lebanon: Mamlaka ya Baraza la Usalama UNIFIL iliundwa na Baraza la Usalama mnamo Machi 1978 kufuatia uvamizi wa Israeli huko Lebanon. Jukumu lake lilikuwa ni kuthibitisha kuondoka kwa wanajeshi wa Israel kutoka Lebanon, kurejesha amani na usalama wa kimataifa na kusaidia Serikali…

Read More

WAZIRI JAFO ATEMBELEA KIWANDA CHA LODHIA KINACHOTENGENEZA MABATI

Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt.Selemani Jafo ,akikagua kiwanda cha Lodhia kinachotengeneza mabati kilichopo eneo la   Kisanvule, Mkuranga (Pwani). …. SERIKALI imetoa wiki tatu kwa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kupeleka transfoma eneo la Mkuranga, mkoani Pwani kuviwezesha viwanda kuzalisha kwa urahisi. Pia imewataka watumishi wa serikali kutokuwa kikwazo kwa wawekezaji bali wawe msaada…

Read More