Mpina rasmi bungeni kesho – Mwanahalisi Online

  MBUNGE wa Kisesa (CCM), Luhaga Mpina, anamaliza adhabu yake ya kutohudhuria vikao 15 vya Bunge, aliyopewa tarehe 24 Juni, mwaka huu. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Aliadhibiwa kwa kosa la kudharau mamlaka ya Spika na mwenendo wa shughuli za Bunge, huku akizuiwa kufika kwenye maeneo ya Bunge, wala kujihusisha na shughuli zozote za…

Read More

Wajasiriamali Manyara Wahimizwa Kuthibitisha Ubora wa Bidhaa na Kujiandaa na Masoko ya Nje

Na Mwandishi Wetu, Manyara WAZALISHAJI wahimizwa kuthibitisha ubora wa bidhaa wanazozalisha ili waweze kuuza bidhaa zao nje ya soko la Afrika Mashariki na pia kunufaika na sera ya Local Content. Rai hiyo imetolewa Meneja wa TBS Kanda ya Kaskazini, Mhadisi Joseph Ismail, kwenye maonesho yaliyoandaliwa na Chemba ya Wafanyabiashara, wenye Viwanda na Kilimo (TCCIA) yanayofanyika…

Read More

Birthday ya JPM, mkewe Mama Janet amfanyia sala

Leo ni kumbukumbu ya kuzaliwa aliyekuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania awamu ya Tano DKT John Pombe Magufuli alizaliwa October 29 1959 huko Chato na kufanikiwa Dunia March 17, 2021 akiwa na umri wa miaka 62 Pamoja na mengi ya kukumbukwa, familia ya Dkt John Magufuli imeendelea kumuombea pumziko jema la milele na…

Read More