
PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO OKTOBA 9,2024
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO OKTOBA 9,2024 Featured • Magazeti About the author
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO OKTOBA 9,2024 Featured • Magazeti About the author
Wakazi wa Mtaa wa Ruhuwiko Kanisani Kata ya Ruhuwiko Manispaa ya Songea, wameipongeza mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Songea (SOUWASA) kufika eneo hilo kusikiliza kero mbalimbali zinazohusu maji pamoja nakutoa elimu juu ya matumizi sahihi ya maji. Wametoa pongezi hizo Mara baada ya kutembelewa na timu ya wataalamu kutoka SOUWASA waliokita kambi…
Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt.Selemani Jafo (Mb) amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Japani nchini Tanzania, Mhe. Yashushi Misawa na Ujumbe wake katika Ofisi ndogo ya Wizara jijini Dar es Salaam Oktoba 8, 2024. Mazungumzo hayo yamelenga kuongeza ushirikiano wa Kibiashara hasa katika Biashara za Viwanda vidogo pamoja na kubadilishana Elimu…
Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt.Selemani Jafo (Mb) amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Kenya nchini Tanzania, Mhe.Dkt. Isaac Njenga na Ujumbe wake katika Ofisi ndogo ya Wizara jijini Dar es Salaam Oktoba 8, 2024. Mazungumzo hayo yamelenga kuongeza ushirikiano wa Kibiashara hasa katika Biashara za mipakani, Biashara za mazao ya Kilimo…
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM TAASISI ya Zaina Foundation kwa kushirikiana na taasisi ya Amnesty pamoja na Paradigm Initiatives zimefanya warsha ya pamoja ambayo imelenga kukuza uelewa wa sheria ya ulinzi wa taarifa binafsi ambapo itasaidia kuwatetea na kulinda faragha za watu Akizungumza na waandishi wa habari leo Oktoba 08,2024 Jijini Dar es Salaam,…
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM TAASISI ya Zaina Foundation kwa kushirikiana na taasisi ya Amnesty pamoja na Paradigm Initiatives zimefanya warsha ya pamoja ambayo imelenga kukuza uelewa wa sheria ya ulinzi wa taarifa binafsi ambapo itasaidia kuwatetea na kulinda faragha za watu. Akizungumza na waandishi wa habari leo Oktoba 08,2024 Jijini Dar…
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital KAMPUNI ya Shule Soft, ambayo inajihusisha na kuboresha mifumo ya uendeshaji wa shule nchini kwa kushirikiana na kampuni ya huduma za malipo ya Selcom zimezindua mfumo mpya wa malipo ya ada ambao unawawezesha wazazi au walezi kulipa ada kwa kutumia namba maalum inayotambua mwanafunzi aliyelipiwa. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa…
Mji mkuu wa Msumbiji Maputo, umepambwa kwa rangi kali nyekundu kwa wiki kadhaa. Nyekundu ni rangi ya FRELIMO, chama ambacho kimeongoza nchi hiyo tangu uhuru wa nchi hiyo karibu miaka 50 iliyopita. Bendera za FRELIMO ziko kila mahali, hasa tangu tarehe 24 Agosti, siku ambayo kampeni za uchaguzi zilifunguliwa rasmi katika nchi hii ya kusini…
SHIRIKA la Grumeti Fund kupitia Idara ya Maendeleo ya Jamii imewaleta pamoja wanafunzi wa kike 688 na wakiume 671 kutoka katika shule za sekondari Issenye, Nagusi na Rigicha zilizopo wilayani Serengeti ili kujadili namna bora ya kujenga jamii yenye ushirikiano wa pamoja kati ya vijana wa kike na kiume na hatimae kujenga jamii yenye usawa…
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) Bw.Plasduce Mbossa amesema kuwa mamlaka hiyo imejipanga kufanya upanuzi wa bandari zake, ili kuweza kuendelea kutoa huduma shindani katika soko la Afrika na kimataifa. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa Wiki ya Huduma kwa Wateja Bw ambayo imeanza jana, Mbossa amesema kuwa mpaka sasa mamlaka hiyo…