RAIS SAMIA AIWEZESHA REA KUTOA RUZUKU BEI MITUNGI YA GESI

REA kusambaza mitungi ya gesi 3,225 Gairo Yaendelea kugawa majiko banifu kwa wananchi Wananchi wapewa elimu matumizi ya nishati safi RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa ruzuku ya bei kwenye mitungi ya gesi inayotolewa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) ili Watanzania watumie nishati safi na salama kwa…

Read More

TPA TANGA BILIONI 18 NDANI YA MIEZI MITATU

MENEJA wa Bandari ya Tanga Masoud Mrisha akizungumza waandishi wa habari ikiwa ni siku ya wiki ya huduma kwa wateja. Meneja wa Bandari ya Tanga Masoud Mrisha kushoto akimkabidhi zawadi Mwandishi Mwandamizi wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Mkoa wa Tanga Bertha Mwambela ikiwa ni wiki ya huduma kwa wateja mapema leo Na Oscar Assenga,…

Read More

Wakulima Nchini washauriwa kujiunga na Ushirika na kutumia Mfumo wa Stakabadhi Ghalani

Naibu Waziri wa Kilimo Mhe. David Silinde amewataka wakulima nchini kujiunga Katika Vyama vya ushirika ili kunufaika kupitia sekta ya kilimo na kukabiliana na changamoto za masoko pindi wanapotaka kuuza mazao yao. Akizungumza wakati wa ufunguzi wa maonesho ya Samia Kilimo Expo msimu wa tatu Wilaya ya Gairo Mkoani Morogoro Mhe.Silinde amesema Serikali inadhamira njema…

Read More

'Watoto wanapaswa kuwa salama kila mahali', lasema UNICEF, huku hofu ikiongezeka kwa El Fasher – Global Issues

Msemaji wa Umoja wa Mataifa Stéphane Dujarric aliwakumbusha waandishi wa habari huko New York katika mkutano wa kawaida wa adhuhuri kwamba hali ya njaa tayari imethibitishwa katika kambi ya Zamzam kwa waliohamishwa, nje kidogo ya jiji, “na tunadhani kuwa kambi zingine katika eneo hilo zinaweza kuwa na hali ya njaa.” El Fasher ni mji wa…

Read More

NCHIMBI ‘AFUNGA’ OFISI ZA CHADEMA ITILIMA

-Mwenyekiti wa Chadema Wilaya ya Itilima, Katibu na wanachama wao wahamia CCM. Mwenyekiti wa Chadema Wilaya ya Itilima Mkoani Simiyu, Ndugu Terry Kilugala, na Katibu wake wa Wilaya ya Itilima, Ndugu Gershom Migasa Mipawa, pamoja na wanachama wao zaidi ya 60, wamehamia Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kupokelewa na Katibu Mkuu wake, Balozi Dkt. Emmanuel…

Read More

TPA TANGA BILIONI 18 NDANI YA MIEZI 3

MENEJA wa Bandari ya Tanga Masoud Mrisha akizungumza waandishi wa habari ikiwa ni siku ya wiki ya huduma kwa wateja.Meneja wa Bandari ya Tanga Masoud Mrisha kushoto akimkabidhi zawadi Mwandishi Mwandamizi wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Mkoa wa Tanga Bertha Mwambela ikiwa ni wiki ya huduma kwa wateja mapema leo   Na Oscar Assenga,…

Read More

OUT YAENDESHA MAFUNZO YA UFUATILIAJI NA TATHMINI KWA MAAFISA MIPANGO, WACHUMI NA WATAKWIMU SERIKALINI

Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT), kimepongezwa kwa kutoa mafunzo ya ufuatiliaji na tathmini kwa maafisa wanaoshughulikia vitengo husika kwenye majiji, manispaa na halmashauri za Tanzania Bara kwani yanawajengea uwezo watumishi hao katika utekelezaji wa majukumu yao. Vitengo hivi ni vipya hivyo mafunzo haya yanakwenda kuimarisha utawala bora kwenye maeneo husika na kusaidia kupanga vipaumbele…

Read More