TANTRADE YAENDESHA KLINIKI YA BIASHARA MAONESHO YA MADINI GEITA

Meneja wa Uhusiano wa Umma na Masoko wa TANTRADE Lucy Mbogolo, akionesha baadhi ya bidhaa zilizotengenezwa Tanzania katika banda hilo.  Na; Mwandishi wetu, GEITA. Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TANTRADE) imeungana na Halmashauri ya Wilaya ya Geita kuratibu Maonyesho ya Teknolojia ya Madini kwa mwaka 2024, ambayo yameendelea, Oktoba 7, 2024, katila viwanja vya…

Read More

NBC yajivunia maboresho ya huduma kukidhi mahitaji ya wateja

  BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imezindua maadhimisho ya mwezi wa huduma wa kwa wateja huku ikijivunia mafanikio mbalimbali ikiwemo maboresho makubwa ya huduma zake yanayolenga kukidhi mahitaji ya wateja wa benki hiyo (Customer satisfaction). Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Hafla fupi ya uzinduzi wa maadhimisho hayo imefanyika mapema leo, Makao…

Read More

WHO inataka hatua kuchukuliwa kukomesha kuongezeka kwa upotevu wa kusikia barani Afrika – Masuala ya Ulimwenguni

Upotevu wa kusikia tayari hugharimu bara hilo dola milioni 27 kila mwakainayoleta athari kubwa kwa maisha na uchumi, kulingana na ripotiambayo ilizinduliwa katika Mkutano wa Kilele wa Afrika kuhusu Ulemavu wa Usikivu mjini Nairobi, Kenya. Upotevu mkubwa wa kusikia huathiri vibaya watu maskini na walio katika mazingira magumu. WHO alionya kuwa bila hatua za haraka…

Read More

OUT yaendesha mafunzo ya ufuatiliaji na tathmini kwa maafisa mipango,wachumi na watakwimu Serikalini

Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT), kimepongezwa kwa kutoa mafunzo ya ufuatiliaji na tathmini kwa maafisa wanaoshughulikia vitengo husika kwenye majiji, manispaa na halmashauri za Tanzania Bara kwani yanawajengea uwezo watumishi hao katika utekelezaji wa majukumu yao. Vitengo hivi ni vipya hivyo mafunzo haya yanakwenda kuimarisha utawala bora kwenye maeneo husika na kusaidia kupanga vipaumbele…

Read More

Msajili awanoa wakuu wa taasisi za umma

  SERIKALI imetoa maagizo tisa kwa watendaji wakuu wa taasisi, mashirika ya umma na wakala wa serikali, kwa lengo la kuongeza ufanisi katika maeneo yao ya kazi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Pwani … (endelea). Maagizo hayo yalitolewa wilayani Kibaha, mkoani Pwani jana Jumatatu tarehe 07 Oktoba 2024; na Katibu Mkuu katika Ofisi ya Rais, Mipango na…

Read More