Tuwatoe hofu uchaguzi utakuwa wa huru na wahaki:Waziri Lukuvi

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, (Sera, Bunge na Uratibu) William Lukuvi amesema serikali imejipanga kuandaa mazingira bora ya uchaguzi kwa vyama vyote vya siasa nchini kuwa dhamira ya serikali ya awamu ya sita ya Rais Samia Suluhu Hassani ni kuhakikisha chaguzi zote zitakazofanyika nchini kuwa zinazingatia misingi ya demokrasia. Waziri Lukuvi ameyasema hayo…

Read More

SERIKALI YATOA MAAGIZO TISA KWA WAKUU WA TAASISI ZA UMMA

Kibaha, Pwani, Oktoba 7, 2024. Serikali imetoa maagizo tisa kwa watendaji wakuu wa taasisi, mashirika ya umma na wakala wa serikali kwa lengo la kuongeza ufanisi katika maeneo yao husika ya kazi na hatimaye kuongeza mchango wao kwa Taifa. Maagizo hayo yalitolewa Wilayani Kibaha, mkoani Pwani Jumatatu (Oktoba 7, 2024) na Dkt. Tausi Kida, Katibu…

Read More

BILIONI 18.5 KUJENGA CHUO KIKUU RUVUMA

Na Gustaph Swai -Songea Meneja wa Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA) Tawi la Songea Dkt. Bakari Mashaka amebainisha kuwa chuo hicho kinaleta mradi Mkubwa wa bilioni 18.5 za Kitanzania ambazo ni fedha za Serikali kujenga Chuo Kikuu Katika Mtaa wa Pambazuko kata ya Tanga Manispaa ya Songea. Ameeleza hayo katika hafla ya ugawaji wa vifaa…

Read More