WMA YAHIMIZA MATUMIZI SAHIHI YA VIPIMO KATIKA SEKTA YA MADINI

Na Paulus Oluochi – WMA Geita Kaimu Meneja Wakala wa Vipimo Mkoa wa Geita, Eva Ikula, amewahimiza wadau katika sekta ya madini kuhakikisha wanatumia mizani iliyohakikiwa na WMA ili kutambua uzito halisi wa madini yanayonunuliwa na kuuzwa. Ameyasema hayo kwenye maonesho ya saba ya kimataifa ya madini yanayofanyika Mkoani Geita katika viwanja vya EPZA bombambili…

Read More

Sehundofe wakopeshana Sh bilioni 4.2 kujikwamua kiuchumi

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Kikundi cha kuweka na kukopa cha Sehundofe kimetoa mikopo ya zaidi ya Sh bilioni 4.2 kwa wanachama wake kuwawezesha kujikwamua kiuchumi. Mikopo hiyo imetolewa tangu mwaka 2009 kikundi hicho kilipoanzishwa ambapo hadi sasa kina wanachama 758 wakiwemo wanawake 609 na wanaume 149. Akizungumza Oktoba 5,2024 wakati wa maadhimisho ya miaka…

Read More

Waziri Bashe azindua kituo atamizi cha Mkonge BBT

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Tanga Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe ameiagiza Bodi ya Mkonge Tanzania (TSB), kuweka utaratibu mzuri kuhakikisha kunakuwa na vifaa vyote muhimu katika Kituo Atamizi cha Mkonge BBT kilichopo Tanga. Waziri Bashe ameyasema hayo baada ya kuzindua kituo hicho kinacholenga kutoa mafunzo ya ubunifu na uzalishaji wa bidhaa za mkono zitokanazo…

Read More

“Serikali imeendelea kuchukua hatua za kuimarisha masuala ya Menejimenti ya maafa nchini” Dk. Yonazi

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu imesema itaendelea kuimarisha masuala ya menejimenti ya maafa kwa lengo la kuimarisha ustahimilivu dhidi ya maafa nchini. Kauli hiyo imetolewa leo Oktoba 7, 2024 Wilayani Hanang’ mkoani Manyara na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge…

Read More

Biogesi, Nishati ya Mviringo, Maendeleo nchini Brazili Shukrani kwa Mipango ya Ndani – Masuala ya Ulimwenguni

Biogas ni bingwa wa uendelevu, inayotoa nishati safi, inayoweza kurejeshwa na kusaidia kutatua tatizo la taka za kikaboni kwa kuibadilisha kuwa nishati ya mimea, anasema Alex Enrich-Prast, profesa katika vyuo vikuu nchini Brazil na Uswidi. Mkopo: Mario Osava / IPS na Mario Osava (rio de janeiro) Jumatatu, Oktoba 07, 2024 Inter Press Service RIO DE…

Read More