NSSF KUFIKISHA HUDUMA KWA WATEJA KIDIJITALI ZAIDI

Naye, Mkurugenzi wa Uendeshaji wa NSSF, Bw. Omary Mziya, amesema wanaendelea kuboresha huduma za wateja siku hadi siku kwa kuwa umuhimu wa wateja ni mkubwa na ndio sababu za kuwepo kwa NSSF. Amesema wanachama wachangiaji wa NSSF wameongezeka kutoka 1,189,000 mwezi Juni 2023 na kufikia 1,342,654 mwezi Juni 2024. Idadi ya wanufaika wa Pensheni nao…

Read More

MAWAKILI WA SERIKALI WANOLEWA KUHUSU UPEKUKUZI WA MIKATABA

Na Mwandishi wetu- Dodoma Divisheni ya Mikataba Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali inaendesha mafunzo ya Upekuzi wa Mikataba kwa Mawakili wa Serikali kutoka Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Ofisi ya Taifa ya Mashtaka, mafunzo hayo yanafanyika kwa siku tano Jijini Dodoma, kuanzia tarehe 7 hadi 11 Oktoba, 2024. Akizungumzia mafunzo hayo Wakili…

Read More

WAZAZI WAHAMASISHWA KUWAPELEKEA WATOTO KUJIUNGA JKT

KAMANDA wa kikosi 834 KJ Makutopora Kanali Festo Mbanga amewahamasisha Watanzania kuwapeleka watoto kujiunga na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) ili wapate mafunzo yatakayowajengea Upendo,uzalendo, ujasiriamali na ukakamavu. Kanali Mbanga ameyasema hayo jijini Dodoma wakati akizungumza na kikundi cha OPERESHENI KAMBARAGE kilichopitia mafunzo katika kikosi hicho mwaka 1990 hadi 1991 baada ya kutembelea kambini hapo…

Read More

DUWASA WAANZA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA KWA KISHINDO, WAFANYAKAZI WASISITIZWA KUWAHUDUMIA WATEJA KWA UPENDO

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mkoa wa Dodoma(DUWASA) Mhandisi Aron Joseph amesisitiza Watumishi kuendelea kusikiliza malalamiko ya wananchi na kuyapatia ufumbuzi. Mhandisi Aron ameyasema hayo leo Oktoba 7,2024 jijini Dodoma wakati akizundua wiki ya huduma kwa wateja. Amesema wananchi wanapokuwa na malalamiko wanataka kupewa ufafanuzi…

Read More

Majaliwa aipongeza DAWASA kuchagiza matumizi nishati safi

  WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  Kassim Majaliwa ameipongeza Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es salaaam (DAWASA) kwa kuchagiza agenda ya matumizi ya Nishati safi ya kupikia kupitia utekelezaji wa Mradi wa uchakataji topetaka (Fecal Sludge Treatment Plant) katika Kata ya Somangila Wilayani Kigamboni. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es…

Read More

MADAKTARI BINGWA 57 WA RAIS SAMIA KUITEKA TABORA KWA SIKU SITA

Madaktari Bingwa wa Rais Samia wapatao 57 wamepokelewa mkoani Tabora na Katibu Tawala wa Mkoa huo Dkt.Rogath Mboya,  ambapo watafanya kazi ya kutoa huduma za Kibingwa kwa siku sita sambamba na kuwajengea uwezo wataalam watakao wakuta kwenye vituo. Akizungumza wakati wa hafla ya mapokezi Oktoba 07, 2024 Katibu Tawala huyo amewataka Madaktari hao kwenda kuwahudumia…

Read More