
TPA yaahidi kuongeza ufanisi katika bandari zake
MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Plasduce Mbossa amesema kuwa mamlaka hiyo imejipanga kufanya upanuzi wa bandari zake, ili kuendelea kutoa huduma shindani katika soko la Afrika na kimataifa. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Akizungumza wakati wa uzinduzi wa Wiki ya Huduma kwa Wateja, ambayo imeanza jana…