
MARIAM ULEGA AKABIDHI SIMU KUONGEZA NGUVU USAJILI WA WANACHAMA KIELEKTRONIKI CCM – UWT SHINYANGA MJINI
Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji wa UWT Taifa, Ndugu Mariam Abdallah Ulega (wa pili kulia) akikabidhi Simu tatu kwa viongozi wa CCM Wilaya ya Shinyanga Mjini ili kuongeza nguvu ya Kusajili Kielektroniki Wanachama wa CCM kupitia UWT Wilaya ya Shinyanga Mjini. Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji wa Jumuiya…