
Wanafunzi wote Hazina ya Magomeni wafaulu kwa alama A darasa la saba
WANAFUNZI wote wa Shule ya Msingi Hazina ya Magomeni jijini Dar es Salaam wamefaulu kwa alama A kwenye matokeo ya darasa la saba yaliyotangazwa leo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Matokeo hayo yametangazwa na Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Mitihani NECTA mbele ya waandishi wa habari ofisini kwake jijini…