
Tanzania mwenyeji wa mkutano wa mafunzo ya uangazi wa Hali ya Hewa Duniani
TANZANIA kupitia Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) kwa kushirikiana na Shirika la Hali ya Hewa Duniani (WMO) imekuwa mwenyeji wa mkutano wa Mafunzo ya WMO kwa wataalamu wa hali ya hewa kutoka nchi wanachama wa WMO Kanda ya Afrika Mashariki na Kaskazini. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Lengo likiwa…