
MAJALIWA: RAIS DKT. SAMIA ANAMATUMAINI MAKUBWA NA TAIFA STARS
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na viongozi na wachezaji wa timu ya Taifa ya mpira wa miguu ya Tanzania (TAIFAR STARS) kwenye uwanja wa mazoezi wa TRA , Mivinjeni jijini Dar es salaam, Oktoba 7, 2024. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama mazoezi ya timu ya Taifa ya mpira wa miguu ya Tanzania (TAIFAR STARS) kwenye…