Wadau wa ELIMU wajadili mustakabali wa elimu ya kujitegemea

CHUO Kikuu Kishiriki cha Elimu Mkwawa (MUCE) kimewakutanisha wadau mbalimbali wa elimu kutoka ndani na nje ya Tanzania katika kongamano linalolenga kujadili dhana ya elimu ya kujitegemea na umuhimu wake katika maendeleo ya jamii. Kongamano hilo linalofanyika chuoni hapo kwa kushirikiana na Chuo cha VIA cha Denmark, limefunguliwa rasmi leo na Naibu Katibu Mkuu wa…

Read More

Mwamayombo bingwa Hilali Cup, DC atoa neno uchaguzi

  TIMU ya mpira wa miguu – Mwamayombo FC. kutoka kata ya Nyanguge imefanikiwa kutwaa ubingwa katika mashindano ya Hilali Cup 2024 baada ya kuichapa Bugohe Mlimani bao 1-0. Anaripoti Mwandishi Wetu, Mwanza … (endelea). Fainali ya mashindano hayo yanayoandaliwa kila mwaka na Diwani ya Kata ya Nyangunge, Hilali Elisha, yamefanyika jana tarehe 6 Oktoba,…

Read More

BENKI YA TIB YATENGA BILIONI 30 KWA AJILI YA KUKOPESHA WAJASIRIAMALI WANAWAKE.

BENKI ya Maendeleo ya TIB ilishiriki katika mkutano wa kifungua kinywa wa Chama cha Wafanyabiashara Wanawake Tanzania (TWCC) uliowakutanisha Wajasiriamali wanawake kutoka mikoa yote ya Tanzania. Hafla hiyo iliyofanyika katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam, ilitoa jukwaa muhimu kwa wanawake kuweka mtandao na kuongeza uelewa kuhusu fursa mbalimbali…

Read More

BONANZA LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA WILAYANI MKALAMA LAFANA

Mkuu wa Wilaya ya Mkalama Mhe. Moses Machali amewataka wananachi wilayani Mkalama kujitokeza kwa wingi kujiandikisha katika Daftari la Mpiga Kura ili wawe na sifa za kuchagua viongozi katika Uchaguzi wa Serikali Za Mitaa utakaofanyika tarehe 27/11/2024. Wito huo ameutoa tarehe 06/10/2024 wakati wa Bonanza la Hamasa ya Uchaguzi wa Serikali Za Mitaa lililofanyika katika…

Read More