RAIS WA ZANZIBAR MHE.DK.HUSSEIN MWINYI AZINDUA KAMPENI YA UZAZI NI MAISHGA VIWANJA VYA IKULU ZANZIBAR

  RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikata utepe kuzindua Kampeni ya Uzazi ni Maisha, hafla hiyo iliyofanyika katika Viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar, na (kulia kwa Rais) Waziri wa Afya Zanzibar Mhe.Nassor Ahmed Mazrui na Naibu Waziri wa Afya Mhe.Hassan Khamis Hafidh  (kushoto kwa Rais) Mwenyekiti wa Bodi…

Read More

MSIGWA ATINGA KATIKA PAMBANO LA NGUMI USIKU

Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni Sanaa na Michezo, Gerson Msigwa pamoja na viongozi mbalimbali na mashabiki wa ndondi wakifuatilia mapambano yanayoendelea muda huu kwenye ukumbi wa City Centra Hall Magomeni Jijini Dar Es Salaam. Usiku wa KNOCKOUT YA MAMA utawakutanisha mabondia kutoka nchi za Ghana, Uganda, South African, Tanzania na Angola wanatarajia kuchuana katika…

Read More

Ugumu, huzuni na matumaini – Masuala ya Ulimwenguni

Siku hiyo ilikuwa mnamo Novemba 2023, karibu mwezi mmoja baada ya vita huko Gaza. Ala'a ni miongoni mwa wanaokadiriwa 155,000 wajawazito na mama wachanga katika Ukanda wa Gaza ambao kwa mwaka uliopita wamelazimika kujifungua kwa moto, kwenye mahema, huku wakikimbia mabomu na mara nyingi bila msaada, dawa au hata maji safi. “Sauti ya roketi na…

Read More

MAKAMU MWENYEKITI INEC ATEMBELEA MAFUNZO YA WAENDESHA BVR PEMBA

  Makamu Mwenyekiti  wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji Rufaa (Mstaafu) Mbarouk Salim Mbarouk (kushoto) akimsikiliza Afisa wa Tume kutoka Idara ya TEHAMA na Daftari, Lazaro Madembwe aliyekua akimpa ufafanuzi wakati alipotembelea kituo cha mafunzo ya Waandishi Wasaidizi na Waendesha Vifaa vya Bayometriki katika Wilaya ya Wete  Mkoa wa Kaskazini Pemba leo…

Read More

SAID CHINO BINGWA MPYA WA IBA INTERNATIONAL

 Historia imeandikwa Tanzania, baada ya Mkanda mwingine kubakia katika Ardhi ya Tanzania ambaoo Bondia Said Mohamed maarufu kama Said Chino kuwa bingwa mpya wa IBA Intercontinental Championship kwa kumchapa mpinzani wake raia wa Afrika Kusini Lusanda Komanisa kwa pointi. Said Chino ameshinda pambani hilo kwa point kutoka kwa majaji wote watatu Kwa ushindi huo Said…

Read More

MAJALIWA AIPONGEZA DAWASA KUCHAGIZA MATUMIZI YA NISHATI SAFI

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa (Mb) ameipongeza Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es salaaam (DAWASA) kwa kuchagiza agenda ya matumizi ya Nishati safi ya kupikia kupitia utekelezaji wa Mradi wa uchakataji topetaka (Fecal Sludge Treatment Plant) katika Kata ya Somangila Wilayani Kigamboni. Ameeleza kuwa utekelezaji wa…

Read More

WAZIRI NDEJEMBI AELEKEZA MKAZI WA KARATU MWENYE VIWANJA BLOCK “J” KUENDELEZA ENEO HILO KWA SHUGHULI ZA MAENDELEO

WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Deogratius Ndejembi ameelekeza mkazi wa Karatu mkoani Arusha mwenye viwanja Block ‘J’, Bw. Desderi Damiano kuendeleza eneo hilo kwa shughuli za maendeleo kufuatia Halmashauri ya Wilaya ya Karatu kushindwa kumlipa fidia baada ya kutwaa eneo lake. Mhe. Ndejembi ametoa maelekezo hayo wakati alipotembelea na kujionea eneo…

Read More

Pesa ipo nje nje na Meridianbet leo

  Leo hii nako pesa ipo nje nje yaani ni wewe tuuh ushindwe kupata ushindi leo. Ingia kwenye akaunti yako, Tengeneza jamvi la uhakika halafu weka dau na usubirie maokoto yako baada ya mechi. Ligi kuu ya Italia, SERIE A itaendelea Lazio atakuwa uso kwa uso dhidi ya Empoli. Timu hizi zinafatana kwenye msimamo wa…

Read More