MKurugenzi wa USAID Tanzania atembelea miradi inayofadhiliwa na Marekani mkoani Lindi

    Mkurugenzi wa Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (USAID) nchini Tanzania, Craig Hart mwishoni mwa wiki alifanya ziara ya siku moja mkoani Lindi ambapo alitembelea programu zinazofadhiliwa na shirika hilo. Wakati Alipokuwa akitembelea Mradi wa USAID Afya Yangu Kusini, Mkurugenzi wa USAID aliambatana na Dk Marina Njelekela, Mkurugenzi  wa Mradi huo Pamoja…

Read More

RAIS WA ZANZIBAR, DKT. MWINYI AONGOZA HAFLA MAALUM YA SHUKRANI YA “UZAZI NI MAISHA” KUPUNGUZA VIFO VYA MAMA NA MTOTO

 Zanzibar: Katika jitihada za kuboresha huduma za afya ya mama na mtoto, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi ameongoza hafla maalum ya Shukrani ya “Uzazi Ni Maisha”, Oktoba, 04  2024 Ikulu Mjini Zanzibar.  Tukio hilo, ambalo limefanyika likiwakilisha awamu ya tatu ya program ya Uzazi Ni Maisha chini ya kauli mbiu “Changia Vifaa…

Read More

WaterAid, TGNP NA TAWASANET WAJENGA UWEZO KWA WANAWAKE HANANG’

Taasisi ya WaterAid Tanzania, Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP), na Mtandao wa Asasi za Kiraia zinazoshughulikia Maji, na Usafi wa Mazingira Tanzania (TAWASANET), wamefanya mafunzo ya kujenga uwezo kwa wanawake viongozi kutoka vijiji nane (8) katika Halmashauri ya Wilaya ya Hanang, Mkoani Manyara. Mafunzo hayo yanalenga kujenga uwezo kwa viongozi wanawake wanaohudumu kwenye Kamati za…

Read More

HODI SIMIYU, NCHIMBI AKIANZA ZIARA YA SIKU 3

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi akizungumza na wananchi wa Lamadi, Wilaya ya Busega, Mkoa wa Simiyu, leo tarehe 6 Oktoba 2024, ikiwa ni siku ya kwanza ya ziara yake ya siku tatu mkoani humo. Balozi Nchimbi ambaye ameambatana na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC), Itikadi,…

Read More

Magu washiriki mapokezi ya Mwenge wa Uhuru Mwanza

  MKUU wa Wilaya ya Magu, Joshua Nassari leo tarehe 6 Oktoba, 2024 amewaongoza viongozi na watumishi wa halmashauri ya wilaya hiyo kuupokea Mwenge wa Uhuru ambao umetokea mkoani Geita na kupokewa katika Halmashauri ya Buchosa mkoani Mwanza. Anaripoti Mwandishi Wetu, Mwanza … (endelea). Mbali na shamrashamra za kuupokea Mwenge huo zilizoanza mapema saa 11:…

Read More