
ALAF Yazindua Jogging Club Kuimarisha Afya Ya Wafanyakazi
AFISA Mtendahji Mkuu wa ALAF Limited, Ashish Mistry (mwenye miwani) akiongoza wafanyakazi wa kampuni hiyo katika kufanya mazoezi ya kunyoosha viungo (aerobics) wakati wa uzinduzi wa ALAF Jogging Club kiwandani hapo Jumamosi. KATIKA hali ya kuhakikisha wafanyakazi wanazalisha kwa ufanisi zaidi, ALAF Limited Tanzania imezindua ALAF Jogging Club ambayo pamoja na mambo mengine itahakikisha wafanyakazi…