WADAU SEKTA YA ULINZI BINAFSI WAPIGWA MSASA

Na: Mwandishi wetu, Dar es Salaam Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu kupitia Idara ya Kazi, imetoa elimu ya sheria za kazi kwa Wafanyakazi na Waajiri wa sekta za ulinzi Jijini Dar es salaam. Akizungumza Kamishna wa Kazi, Suzan Mkangwa amesema kuwa dhumuni la semina hiyo ni kutoa Elimu ya…

Read More

Nafasi ya kuwa milionea na Meridianbet ni leo

  Nafasi ya kuwa Milionea na Meridianbet ni leo. Mechi kibao zinachezwa leo huku Meridianbet tayari wameshakuwekea machaguo uyapendayo. Ingia na ubashiri hapa. Ligi kuu ya Italia SERIE A, leo kitawaka haswa mapema tuu Udinese baada ya kupoteza mechi iliyopita, atakuwa uso kwa uso dhidi ya US Lecce ambaye alipoteza mchezo wake uliopita. Nafasi kubwa…

Read More

DKT. NCHEMBA ATETA NA BALOZI WA HUNGARY

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb), akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Hungary nchini, mwenye makazi yake Jijini Nairobi nchini Kenya, Mhe. Zsolt Mészáros, baada ya kukutana na kufanya mazungumzo katika Ofisi Ndogo za Wizara ya Fedha Jijini Dar es Salaam, ambapo Dkt. Nchemba ametoa wito kwa wawekezaji kutoka…

Read More

KATIBU MTENDAJI BMT AWAFUNDA VIONGOZI WA SHIMUTA

KATIBU Mtendaji wa Baraza la Michezo Tanzania (BMT) Neema Msitha akizungumza wakati akifunga mafunzo ya ya Saikolojia na Uongozi Michezoni Jijini Tanga KATIBU Mtendaji wa Baraza la Michezo Tanzania (BMT) Neema Msitha kushoto akimkabidhi cheti cha ushiriki wa mafunzo hayo Mjumbe wa Kamati ya Utendaji wa Shimuta na Mwenyekiti wa Michezo kutoka Shirika la Maendeleo…

Read More

Katibu Mkuu Viwanda na Biashara aiagiza Menejimenti ya WMA kutekeleza maono ya Rais Samia

-Akabidhi magari kuboresha utendaji kazi -Azindua Jarida maalum kupanua wigo uhabarishaji umma Veronica Simba – WMA, Pwani Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Dkt. Hashil Abdallah ameitaka Menejimenti ya Wakala wa Vipimo (WMA) kutekeleza maono ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuzingatia utendaji kazi wenye weledi, ubora na viwango ili kupata matokeo chanya katika…

Read More