Waziri Mkuu asisitiza matumizi ya mifumo ya kieletroniki katika makusanyo

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amewataka maafisa masuhuli kwenye Halmashauri zote nchini waweke msisitizo wa kutumia mifumo ya kielektroniki katika makusanyo badala la kukusanya kwa fedha taslimu ‘Cash’. Amesema kwa kufanya hivyo kutasaidia kuongeza mapato katika maeneo yao na kuepuka vishawishi vya kutumia vibaya fedha za umma ambazo zinakusanywa kwa ajili…

Read More

MAKAMU WA RAIS AKIONDOKA NCHINI LESOTHO

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiondoka katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mashoeshoe mjini Maseru nchini Lesotho mara baada ya kumwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika sherehe za Miaka 58 ya Uhuru wa Lesotho na Miaka 200 ya…

Read More

MHE. DKT. NCHEMBA ATETA NA BALOZI WA HUNGARY

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb), akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Hungary nchini, mwenye makazi yake Jijini Nairobi nchini Kenya, Mhe. Zsolt Mészáros, baada ya kukutana na kufanya mazungumzo katika Ofisi Ndogo za Wizara ya Fedha Jijini Dar es Salaam, ambapo Dkt. Nchemba ametoa wito kwa wawekezaji kutoka…

Read More

WAZIRI MKUU AZUNGUMZA NA WATUMISHI WA WILAYA YA TEMEKE

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Watumishi kwenye Ukumbi wa Ali Hassan Mwinyi, Sabasaba akiwa katika ziara ya Wilaya ya Temeke mkoani Dar es salaam, Oktoba 5, 2024. Kulia ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dar es salaam, Abbas Mtemvu. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Watumishi kwenye Ukumbi…

Read More

BODI YA USHAURI KIMATAIFA YA NELSON MANDELA YAZINDULIWA

Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela imezindua Bodi ya Ushauri ya kimataifa ya NM-AIST ambayo imeundwa mahususi kwa lengo la kushauri Baraza la Taasisi, ili kufanya elimu ya Tanzania iwe ya Kimataifa hususani katika Nyanja za Sayansi ,Teknolojia na Ubunifu. Akizungumza kwa niaba ya Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Prof….

Read More

MKUU WA MISHENI YA UANGALIZI WA UCHAGUZI YA SADC NCHINI MSUMBIJI AFANYA MAZUNGUMZO NA MGOMBEA URAIS WA CHAMA CHA FRELIMO

Rais Mstaafu wa Zanzibar na Mkuu wa Misheni ya Uangalizi wa Uchaguzi ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC –SEOM) nchini Msumbiji, Mhe. Dkt. Amani Abeid Karume ameendelea kukutana na wadau mbalimbali wa uchaguzi mkuu wa Msumbiji ambapo tarehe 04 Oktoba, 2024 jijini Maputo amekutana na kufanya mazungumzo na Mgombea urais wa Chama cha…

Read More

MAWAZIRI WAWEKA MIKAKATI KULINDA ZIWA TANGANYIKA

Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Khamis Hamza Khamis akizungumza wakati wa Mkutano wa Tatu wa Mawaziri wa Nchi za Ziwa Tanganyika zinazoundwa na Tanzania, Zambia, Burundi na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wa kujadili kuongezeka kwa kina cha ziwa hilo uliofanyika jijini Dar es Salaam Oktoba 04, 2024. Mwenyekiti…

Read More