WAJASIRIAMALI WAMPONGEZA RAIS SAMIA KUWAWEZESHA KUSHIRIKI MAONESHO YA NGUVU KAZI – JUA KALI SUDAN YA KUSINI

Sehemu ya wajasiriamali wa Tanzania wakiwa na Wateja waliotembelea banda la Tanzania kweye maonesho 24 ya Wajasiriamali Wadogo na wa Kati wa Jumuiya ya Afrika Mashariki maarufu Nguvu Kazu au Jua kali yanayoendelea katika viwanja vya Freedom Hall jijini Juba, Sudan ya Kusini. Na: Mwandishi Wetu – Juba, Sudan ya Kusini WAJASIRIAMALI kutoka maeneo mbalimbali…

Read More

ANGALIA MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024

BARAZA la Mitihani lTanzania (Necta) latangaza matokeo ya darasa la saba, ambapo mtihani ulifanyika Septemba 2024. Akitangaza matokeo hayo jijini Dar es Salaam leo, Oktoba 29,2024, Katibu Mtendaji wa Baraza hilo, Dkt. Said Mohamed amesema kuwa jumla ya watahiniwa 1,230,774 walisajiliwa kufanya Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi wakiwemo Wasichana 666,597 sawa na asilimia 54.16%…

Read More

NECTA WATANGAZA MATOKEO YA DARASA LA SABA, WAVULANA WAONGOZA, 16 WAANDIKA MATUSI

BARAZA la Mitihani lTanzania (Necta) latangaza matokeo ya darasa la saba, ambapo mtihani ulifanyika Septemba 2024. Akitangaza matokeo hayo jijini Dar es Salaam leo, Oktoba 29,2024, Katibu Mtendaji wa Baraza hilo, Dkt. Said Mohamed amesema kuwa jumla ya watahiniwa 1,230,774 walisajiliwa kufanya Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi wakiwemo Wasichana 666,597 sawa na asilimia 54.16%…

Read More

Rais Mwinyi awasili nchini Qatar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi ameondoka Zanzibar na kuwasili Doha,Qatar ambapo anatarajia kushiriki katika Mkutano wa Kimataifa wa kutimia miaka Thelathini ya Familia Duniani utakaofanyika tarehe 29 hadi 31 Oktoba 2024 nchini Humo. Mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Hamad Rais Dk.Mwinyi na…

Read More

DKT. BITEKO AIPONGEZA REA UTEKELEZAJI MIRADI YA NISHATI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ameupongeza Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa kufanya vizuri katika utekelezaji wa majukumu yake ikiwemo usambazaji umeme kwenye vijiji, vitongoji na usimamizi wa miradi ya Nishati Jadidifu ikiwa ni utekelezaji wa mipango ya Wizara ya Nishati. Alitoa pongezi hizo tarehe 28 Oktoba, 2024 jijini…

Read More