
PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO OKTOBA 5,2024
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO OKTOBA 5,2024 Featured • Magazeti About the author
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO OKTOBA 5,2024 Featured • Magazeti About the author
Kulingana na televisheni ya wanamgambo wa Houthi Al Masirah, mashambulizi hayo yamelenga maeneo 4 tu. Marekani na Uingereza zimekuwa zikifanya mashambulizi yenye lengo la kuusitisha uwezo wa Wahouthi kuzishambulia meli, ila mashambulizi ya waasi hao kwa meli zinazopitia Bahari ya Shamu na Ghuba ya Aden, yameendelea. “Kamandi Kuu ya Marekani (CENTCOM) imefanya mashambulizi ikilenga ngome…
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 5, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania. The post Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo October 5, 2024 first appeared on Millard Ayo.
Idadi ya hivi punde ya vifo imepita zaidi ya watu 41,000, kulingana na Wizara ya Afya ya Palestina – wengi wao wakiwa wanawake na watoto – wakati idadi kubwa ya wakazi wa Gaza milioni 2.3 wamelazimika kuyahama makazi yao na kunaswa katika asilimia 10 pekee ya eneo hilo. lakini katika hali hii ya kuhuzunisha, mipango…
Mtangazaji wa Kipindi cha Mashamsham cha WasafiFM Khadija Shaibu maarufu kama Didah, amefariki dunia jioni ya leo katika Hospitali ya Taifa Muhimbili Jijini Dar es salaam alikokuwa amelazwa. Didah ambaye amefariki akiwa na umri wa miaka 42, kifo chake kimetokea siku kumi na sita (16) toka Wafuasi wake washuhudie ukimya wake katika mitandao ya kijamii…
WAZIRI wa Viwanda na Biashara Mh.Suleiman Jafo ameishauri bodi mpya ya Wakurugenzi wa Tume ya Ushindani( FCC) kuhakikisha inakutana na kufanya kikao haraka kwa lengo la kujadili masuala mbalimbali pamoja na kupitia mambo yote yanayotakiwa kupatiwa ufumbuzi kuhusu masuala ya uwekezaji nchini. Ametoa ushauri huo leo Oktoba 4,2024 Dar es Salaam alipokuwa akizindua bodi hiyo,…
Rais Samia Suluhu Hassan, amesema mfumo mzuri wa ukusanyaji na ulipaji wa kodi, utafanikisha lengo la kujenga uchumi jumuishi na unaokua kwa kasi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Ameyasema hayo leo Ijumaa tarehe 04 Oktoba 2024, alipokuwa akizindua Tume ya Kutathmini na Kushauri kuhusu Masuala ya Kodi, aliyoiunda hivi karibuni. Amesema…
Mtangazaji wa Wasafi FM, Dida Shaibu amefariki Dunia usiku huu katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili alipokuwa akipatiwa matibabu baada ya kuugua na kulazwa. Dida alipata umaarufu mkubwa akiwa kituo cha radio cha Times FM, na kipindi chake cha Mitikisiko ya Pwani, kabla ya kuhamia kituo cha radio cha Wasafi Fm. …
Na.Khadija Seif, Michuziblog BENDI ya Msondo Ngoma yawaalika Mashabiki zake kuhudhuria Tamasha la Miaka 60 tangu kuanzishwa kwa bendi hiyo. Akizungumza na Wanahabari Leo Oktoba 04,2024 Jijini Dar es Salaam Mwenyekiti wa Kamati ya Tamasha hilo Said Kibiriti amesema bendi hiyo imekuwa Mfano wa kuigwa katika tasnia ya Muziki kutokana na kuhudumu kwa Miaka mingi…
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo Cha Uwekezaji Tanzania (TIC), Gilead Teri na Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel Tanzania, Dinesh Balsingh wakibadilishana mikataba mara baada ya kusaini makubaliano ya miaka miwili ili kuvutia wawekezaji nchini. Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo Cha Uwekezaji Tanzania (TIC), Gilead Teri akizungumza jijini Dar es Salaam leo Oktoba 04, 2024 wakati wa kusaini…