Tamasha la miaka 60 ya Msondo Ngoma kufanyika Oktoba 26

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Bendi maarufu ya muziki wa dansi nchini Tanzania, Msondo Ngoma Music Band, inatarajia kuadhimisha miaka 60 tangu kuanzishwa kwake kwa tamasha maalum litakalofanyika Oktoba 26, 2024, katika viwanja vya Gwambina Lounge (zamani TCC Club) Changombe, jijini Dar es Salaam. Akizungumza na waandishi wa habari, Meneja wa bendi hiyo, Saidi Kibiriti,…

Read More

CHUKUA CHAKO NA MERIDIANBET SIKU YA LEO

MPENDWA mteja wa Meridianbet, wikendi ndio hii inaanza leo ambapo ligi sasa inarejea huku ODDS KUBWA na machaguo zaidi ya 1000 yakiwepo hapa. Suka jamvi lako na ubashiri na Meridianbet leo. Kule BUNDESLIGA, unaweza kusuka jamvi lako na mechi ya FC Augsburg dhidi ya Borussia Monchengladbach huku nafasi ya kushinda mechi hii akipewa mwenyeji akiwa…

Read More

Nandy na Diamond kuwania Tuzo za AEAUSA

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Msanii maarufu wa Bongo Fleva nchini Tanzania, Faustina Mfinanga, anayefahamika zaidi kwa jina la Nandy, ametajwa kuwania tuzo ya Msanii Bora wa Kike (Best Female Artist) kwenye tuzo za African Entertainment Awards USA (AEAUSA). Katika kipengele hiki, Nandy atachuana na mastaa wakubwa wa muziki barani Afrika kama Yemi Alade, Tiwa…

Read More

WAZIRI BASHE AZINDUA KIUATILIFU HAI CHA KUANGAMIZA WADUDU DHURIFU WA MAZAO YA MAHINDI NA PAMBA

WAZIRI wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe (Mb) amezindua kiuatilifu hai cha kuangamiza wadudu dhurifu kwenye mazao (THURISAVE – 24) kilichovumbuliwa na kampuni ya Tanzania Biotech Products Limited (TBPL) leo tarehe 4 Oktoba 2024, mkoani Pwani. Kiuatilifu hicho cha Thurisave kinadhibiti wadudu waharibifu wa zao la pamba na kantangaze kwenye nyanya. Kiuatilifu kinachodhibiti mbu ni aina…

Read More

WAZALISHAJI WA VYAKULA VYA MIFUGO WAASWA KUZINGATIA UBORA

Wazalishaji wa vyakula vya Mifugo nchini wameaswa kuzingatia ubora wanapozalisha vyakula vya Mifugo ili kulinda afya za watumiaji wa mazao yatokanayo na Mifugo, kuongeza ustawi wa Mifugo, kuongezeka kwa uzalishaji Mifugo pamoja na kukuza vipato vya wafugaji. Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi wa Huduma Saidizi wa Wakala ya Maabara ya Veterinari Tanzania (TVLA) Bw. Furaha Kabuje…

Read More

Wikendi ya mkwanja wa maana imerudi

  Mpendwa mteja wa Meridianbet, wikendi ndio hii inaanza leo ambapo ligi sasa inarejea huku ODDS KUBWA na machaguo zaidi ya 1000 yakiwepo hapa. Suka jamvi lako na ubashiri na Meridianbet leo. Kule BUNDESLIGA, unaweza kusuka jamvi lako na mechi ya FC Augsburg dhidi ya Borussia Monchengladbach huku nafasi ya kushinda mechi hii akipewa mwenyeji…

Read More

Serikali Yasisitiza Uhifadhi wa Ziwa Tanganyika

Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Khamis Hamza Khamis ametoa wito kwa Nchi Wanachama wa Ziwa Tanganyika kuendelea kulinda ziwa hili ili lisaidie katika shughuli za kijamii. Ametoa witi huo wakati akiwasilisha taarifa wakati wa Mkutano wa Tatu wa Mawaziri wa Nchi za Ziwa Tanganyika zinazoundwa na Tanzania, Zambia, Burundi…

Read More

Miongozo minne ya Sayansi , Teknolojia na Ubunifu yazinduliwa

WAKATI dunia ikiwa imejielekeza kwenye ubunifu wa Teknolojia na sayansi, serikali ya Tanzania imezindua miongozo minne inayochagiza maendeleo ya Sayansi, Ubunifu na Teknlojia. Akizungumza jijini Dar es Salaam leo Oktoba 01, 2024 Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Carlyne Nombo  wakati wa  uzinduzi wa miongozo hiyo, uzinduzi uliofanyika  kwenye ukumbi wa…

Read More

Rais Mwinyi: Tuendelee kuhubiri Amani katika jamii

Na Mwandishi Wetu Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema suala la kuhubiri Amani sio la kuachiwa Viongozi wa dini pekee bali kwa makundi mbalimbali ya kijamii yana wajibu wa kulipa mkazo suala hilo. Ameyasema hayo leo Oktoba 4, 2024 alipojumuika na Waumini wa Dini ya Kiislamu katika…

Read More

ATCL Yasisitiza Ufanisi kwa Wahitimu wa Huduma za Ndege

WAHITIMU wa mafunzo ya uhudumu wa ndege na huduma kwa wateja wametakiwa kufanya kazi kwa ufanisi ili kuleta mabadiliko chanya katika sekta ya anga.  Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), Mhandisi Ladislaus Matindi, ametoa wito huo katika mahafali ya pili ya Chuo cha Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL Training Centre) yaliyofanyika Jijini Dar…

Read More