Bil. 17.9 kusambaza umeme vitongoji 166 Morogoro

Na Mwandishi Wetu, Morogoro Jumla ya vitongoji 166 mkoani Morogoro vinatarajiwa kupata umeme baada ya Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kumtambulisha Mkandarasi aliyeshinda zabuni ya kupeleka umeme katika vitongoji hivyo ili aanze kazi. Mradi huo wenye gharama ya shilingi bilioni 17.9 unatarajiwa kutekelezwa katika kipindi cha miezi 24 na utakapokamilika utanufaisha zaidi ya…

Read More

VETA KUANZA KUHUSISHA SEKTA BINAFSI KATIKA KUFUNDISHA UFUNDI

Na. Damian Kunambi, Njombe. Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda amesema Serikali imeanza mkakati wa kuingia makubaliano na sekta binafsi za ufundi Ili kuboresha elimu ya ufundi na kuwafanya wanafunzi kupata maarifa yaliyo na tija zaidi. Hayo ameyasema Wilayani Ludewa Mkoani Njombe alipokuwa kwenye ziara ya kikazi ya kutembelea miradi mbalimbali ya…

Read More

Rais Samia azindua Tume ya Rais ya Maboresho ya Kodi

Na Mwandishi Wetu Rais Samia Suluhu Hassan amesema bado kumekuwa na malalamiko yanayogusa mfumo wa kodi kwa ujumla kutokana na wafanyabiashara na wananchi kudai kuwepo kwa wingi wa kodi, tozo na viwango vya kodi visivyo rafiki na jinsi kodi hizo zinavyokusanywa. Ameyasema hayo leo Oktoba 4,2024, Ikulu jijini Dar es Salaam, wakati akizindua Tume ya…

Read More

Tunisia yajiandaa kwa uchaguzi – DW – 04.10.2024

Uchaguzi wa rais wa Oktoba 6 katika taifa hilo la Kaskazini mwa Afrika ni wa tatu tangu maandamano yaliyosababisha kung’olewa madarakani kwa Rais Zine El Abidine Ben Ali mwaka 2011, mbabe wa kwanza aliyepinduliwa katika ghasia za vuguvugu la kiarabu ambalo pia liilisababisha mapinduzi kwa viongozi wa Misri, Libya na Yemen. Waangalizi wa kimataifa walisifu…

Read More

POLISI WAKUMBUSHA KUSALIMISHA SILAHA KWA HIARI.

Na. Jeshi la Polisi, Dodoma. Jeshi la Polisi nchini limewakumbusha Wananchi wanaomiliki silaha kinyume cha sheria kutumia kipindi hiki cha msamaha uliotangazwa na Serikali kuanzia Septemba 01, 2024 hadi Oktoba 31, 2024 kuzisalimisha kwa kuwa baada ya kipindi hicho kumalizika, masako mkali utaanza  na watakabainika kuwa bado wanatumia silaha hizo kinyume cha sheria hatua za…

Read More

Kremlin yaonya Ukraine “inacheza na moto” – DW – 04.10.2024

Shambulizi la bomu lililotegwa ndani ya gari limemuua afisa huyo wa usalama wa kinu  kinachokaliwa na Urusi leo Ijumaa. Haya yanajiri huku Kremlin ikionya mamlaka ya Ukraine kwamba “inacheza na moto”. Kyiv imekuwa ikiwalenga watu kadhaa mashuhuri inaowataja kama “washirika” na “wasaliti” kwa kufanya kazi na vikosi vya Urusi tangu Moscow ilipoivamia Februari 2022.  Soma…

Read More

Kwa nini Afrika Ikumbatie Masoko ya Kieneo Ili Kuhimili Mishtuko ya Hali ya Hewa na Migogoro – Masuala ya Ulimwenguni

Wakulima, wafanyabiashara na watumiaji katika soko la Mbare Musika Territorial Market mjini Harare, Zimbabwe. Credit: Isaiah Esipisu/IPS na Isaya Esipisu (harare) Ijumaa, Oktoba 04, 2024 Inter Press Service HARARE, Oktoba 04 (IPS) – Watunga seŕa wa Afŕika, viongozi wa ndani na sekta binafsi wametakiwa kujenga mazingiŕa wezeshi ambayo yatawasaidia wafanyabiashara wa Afŕika na wakulima kujenga…

Read More