Umoja wa Mataifa wawaomba wafadhili kuisaidia Somalia – DW – 04.10.2024

Afisa huyo wa Umoja wa Mataifa nchini Somalia alisema kwamba amesikitishwa mno na mashambulizi ya kigaidi yanayofanywa  na kundi la wanamgambo la al-Shabaab. “Vita dhidi ya ugaidi unaofanywa na wanamgambo wa al-Shabaab bado ni swala nyeti la kiusalama linalozidi kupewa kipaumbele na serikali ya Somalia. Pamoja na kupiga hatua kubwa kupambana na magaidi hao, Somalia inakabiliwa…

Read More

HATMA YA KOMBO MBWANA KUJULIKANA OCTOBA 31

Na Oscar Assenga,  TANGAMAAMUZI ya Kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo wilaya ya Handeni Mkoani Tanga Kombo Mbwana Twaha kupelekwa mahakamani Kuu kwa ajili ya kupewa haki zake ama la itabainika Octoba 31 mwaka huu. Akizungumza na waandishi wa habari nje ya mahakama baada ya shauri hilo kuhairishwa Wakili wa Upande wa Utetezi Paul…

Read More

Mambo gani yamo kwenye mkakati wa Iran, Israel? – DW – 04.10.2024

Kufuatia mashambulizi makubwa ya makombora ya Iran dhidi ya Israel siku ya Jumanne (Oktoba Mosi), kila upande umekuwa ukijipiga kifua na kunadi uwezo wa kumuadhibu hasimu wake. Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, alisema mashambulizi hayo yamehitimisha ulipizaji kisasi wa Iran dhidi ya Israel, “isipokuwa,” alionya, “ikiwa Israel itachagua kuendeleza mzunguko wa ulipizaji…

Read More

KATIBU MKUU VIWANDA NA BIASHARA AIAGIZA MENEJIMENTI WMA KUTEKELEZA MAONO YA RAIS SAMIA

-Akabidhi magari kuboresha utendaji kazi -Azindua Jarida maalum kupanua wigo uhabarishaji umma Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Dkt. Hashil Abdallah ameitaka Menejimenti ya Wakala wa Vipimo (WMA) kutekeleza maono ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuzingatia utendaji kazi wenye weledi, ubora na viwango ili kupata matokeo chanya katika sekta ya biashara nchini. Ameyasema…

Read More

Mashambulizi ya Israel yaharibu barabara ya Lebanon-Syria – DW – 04.10.2024

Mashambulizi hayo ambayo Israel bado haijayazungumzia yamefanyika baada ya watu 310,000 wengi wakiwa raia kutoka Syria kuyakimbia mapigano kati ya Israel na Hezbollah yanayoendelea nchini Lebanon. Wengi wao wanareja tena Syria kusaka usalama wao, ingawa kwenyewe nako kumekuwa kukishambuliwa mara kwa mara na jeshi la Israel. Hofu hii imetokana na mashambulizi ya usiku kucha dhidi…

Read More

WATUMISHI CCM WANOLEWA KUHUSU FURSA ZA MASOMO NJE YA NCHI

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia Idara ya Mambo ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa (SUKI), kimefanya mafunzo kwa watumishi wa chama na jumuiya zake kuhusu umuhimu wa kujiendeleza kielimu kupitia fursa zinazopatikana kimataifa. Mafunzo hayo yamefanyika Oktoba 3, 2024 katika ukumbi wa ofisi za Makao Makuu ya CCM, Dodoma na kuhudhuriwa na watumishi wa CCM,…

Read More

REA YAANZA KUSAMBAZA UMEME KWENYE VITONGOJI MOROGORO

📌 *Bil. 17.9 kutumika kupeleka umeme Vitongoji Morogoro* 📌 *Vitongoji 166, Kaya 5,478 kunufaika* Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imeanza kusambaza Umeme kwenye Vitongoji 166 vilivyopo Mkoa wa Morogoro baada ya kukamilisha nishati hiyo kwenye Vijiji 652 kati ya 669 sawa na Asilimia 97.5. Mradi huo wenye gharama ya shilingi bilioni 17.9 unatarajiwa…

Read More

TCU YAONGEZA MUDA WA UDAHILI

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma TUME ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) imeongeza muda wa udahili kwa wanafunzi wa elimu ya juu katika programu ambazo bado zina nafasi kwa mwaka wa masomo 2024/2025 unaotarajia kuanza kesho Oktoba tano hadi Oktoba tisa mwaka huu. Katibu Mtendaji wa TCU, Prof. Charles Kihampa,ameyasema hayo leo Oktoba 4,2024 jijini Dodoma…

Read More