MBUNGE MTATURU AKABIDHI MASHINE YA KUDURUFU,AMSHUKURU RAIS SAMIA.

MBUNGE wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu ameshiriki Mahafali ya 65 ya Shule ya Msingi Matongo na kuwapongeza Walimu,Wazazi na Wanafunzi kwa jitihada za kupandisha ufaulu. Aidha amekabidhi Mashine ya kudurufu yenye thamani ya Sh Milioni 3 ikiwa ni ahadi aliyoitoa mwaka jana 2023 kwenye mahafali kama hayo. Akizungumza katika mahafali hayo Octoba 2,2024,Mtaturu amewahimiza Wazazi…

Read More

TPDC Yajipanga Kupanua Vituo vya CNG Kukabiliana na Uhitaji

SHIRIKA la Petroli Tanzania (TPDC) limetoa ufafanuzi juu changamoto iliyojitokeza hivi karibuni ya kuwepo kwa msongamano wa magari kwenye vituo vya kujazia gesi ya CNG vilivyosababishwa na changamoto ya hitilafu ya umeme kwenye kituo cha Uwanja wa ndege Akizungumza na waandishi wa habari leo Octoba 3,2024 Kaimu Mkurugenzi wa biashara ya petroli na gesi Emmanuel…

Read More

SHUGHULIKIENI CHANGAMOTO KWENYE MAENEO YENU’

OR-TAMISEMI Naibu Katibu Mkuu ( Afya ) Ofisi ya Rais- TAMISEMI Dkt. Grace Magembe amewataka Waganga Wakuu wa Mikoa, Halmashauri pamoja na Wafawidhi wa vituo vya kutolea huduma za Afya ya Msingi nchini kufanya kazi kwa uadilifu pamoja na kushughulikia changamoto zilizopo katika maeneo yao. Dkt. Magembe ametoa wito huo alipozungumza na viongozi hao katika…

Read More

MTATURU AKABIDHI MASHINE YA KUDURUFU,AMSHUKURU RAIS SAMIA.

  MBUNGE wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu ameshiriki Mahafali ya 65 ya Shule ya Msingi Matongo na kuwapongeza Walimu,Wazazi na Wanafunzi kwa jitihada za kupandisha ufaulu. Aidha amekabidhi Mashine ya kudurufu yenye thamani ya Sh Milioni 3 ikiwa ni ahadi aliyoitoa mwaka jana 2023 kwenye mahafali kama hayo. Akizungumza katika mahafali hayo Octoba 2,2024,Mtaturu amewahimiza…

Read More

UAMUZI TCRA KUFUNGIA MAUDHUI MITANDAO MCL WAISHTUA TEF

JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF) limeshtushwa na taarifa za Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kusitisha kwa siku 30 leseni za huduma za maudhui mtandaoni za kampuni ya Mwananchi Communications Limited (The Citizen, Mwananchi Digital, Mwananchi na MwanaSpoti) kutoa huduma za maudhui mtandaoni nchini. Taarifa iliyotolewa Oktoba 2, 2024 na Mkurugenzi mkuu wa TCRA, Dkt. Jabiri…

Read More

Mashindano ya Polisi Jamii Cup yawakumbusha wananchi ushiriki katika Chaguzi Zijazo.

Na. Mwandishi Jeshi la Pollsi- Arusha. Mashindano ya Polisi Jamii Cup ambayo yamekuwa yakifanyika kila mwaka maeneo tofauti tofauti hapa nchini ambapo yamekuwa yakiwakutanisha Jeshi la Polisi na jamii huku mashindao hayo yakitumika pia kuwakumbusha wananchi kushiriki katika chaguzi zijazo na Jeshi hilo kuwaomba wananchi kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu katika Jamii. Awali akiongea…

Read More

DKT. NCHEMBA AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA KAMISHNA JENERALI WA JESHI LA MAGEREZA CGP JEREMIA KATUNGU

  Na: Josephine Majura WF, Dodoma Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), amekutana na kufanya mazungumzo na Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza, CGP Jeremiah Yoram Katungu, ambaye amefika ofisini kwake kujitambulisha, akiwa ameambatana na Maafisa wengine wa ngazi ya juu wa Jeshi hilo, ambapo wamejadili masuala mtambuka ya namna ya kushirikiana…

Read More

RC KUNENGE AZITAKA TAASISI WEZESHI KUSHIRIKISHA WAFANYABIASHARA WADOGO

  Mwamvua Mwinyi,Pwani  Mkuu wa mkoa wa Pwani, alhaj Abubakar Kunenge ameziagiza Taasisi Wezeshi, kuwa na Ushirikiano wa karibu na kuweka mazingira rafiki kwa wafanyabiashara wadogo ili kuboresha sekta ya Biashara na Uwekezaji. Aidha amezitaka Taasisi hizo zisigeuke kero kwa wafanyabiashara hao badala yake ziwashirikishe kwa kuwasikiliza na kuwapa elimu ili kupunguza changamoto zao zinazowakabili….

Read More