WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema kuwa suala ya lishe ni kipaumbele muhimu kwa Serikali katika kuwezesha utekelezaji wa mipango ya maendeleo na shughuli za kiuchumi
Month: October 2024

Akitangaza tuzo hiyo mkurugenzi Ole von Uexküll amesema washindi hao wametunukiwa tuzo hiyo kutokana na mchango wao katika mataifa yao na jukwaa la kimataifa. Mpalestina

Wananchi wa vijiji vya Msolwa Kalengakelo na kitongoji cha Mkuyuni katika kijiji cha Chisano halmashauri ya Wilaya ya Mlimba mkoani Morogoro wamevamia maeneo yaliyotengwa na

Taarifa zinasema kuwa meli hiyo iliyokuwa imewabeba abiria zaidi ya 150 na mizigo ilizama muda mfupi kabla ya kuwasili katika bandari ya mjini Goma. Ilikuwa inatoka

Reem Alsalem, Mtaalamu Maalum wa Umoja wa Mataifa kuhusu Ukatili Dhidi ya Wanawake na Wasichana, katika mkutano na waandishi wa habari ambapo anajadili matokeo yake

Na Khadija Kalili Michuzi Tv KAMATI ya Olimpiki Tanzania (TOC) imeipongeza nchi ya Uturuki kwa kuwapatia Mkufunzi aliyetoa mafunzo kwa walimu wa mchezo wa Judo

JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF), limeishauri serikali na kampuni ya Mwananchi Communications, wakae meza moja, ili kufungua leseni za maudhui mtandaoni, ziliyositishwa kwa siku

Akihutubia wakati wa maadhimisho hayo ya kuungana kwa iliyokuwa Ujerumani Mashariki na Ujerumani Magharibi, Scholz ameelezea namna taifa hilo linavyofanya maadhimisho hayo huku likikabiliwa ugumu katika na

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiteta jambo na Rais wa Samsung C & T Corporation Oh Se-chul, Ikulu

Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania(BoT), Emannuel Tutuba,akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati akitoa taarifa ya kamati ya fedha leo Oktoba 3,2024 jijini