Israel yapiga marufuku UN kuhudumia wakimbizi wa Kipalestina

  BUNGE la Israel limepiga kura kupitisha sheria ya kupiga marufuku shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi wa Palestina (UNRWA). Sheria hiyo inaondoa kinga ya kisheria kwa wafanyakazi wa UNRWA ndani ya Israel, na makao makuu ya shirika hilo yaliyopo Jerusalem Mashariki yatafungwa. Aidha, sheria hiyo inayolizuia shirika hilo kufanya kazi ndani ya…

Read More

Waandishi Bora wa habari za Hali ya Hewa watunukiwa Tuzo

  MWENYEKITI wa Bodi Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Jaji Mshibe Ali Bakari amewatunukia rasmi tuzo waandishi wa habari waliofanya vizuri kwa kipindi cha kuanzia mwezi Julai 2023 hadi Juni 2024 katika kuandika habari za hali ya hewa nchini. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Hafla hiyo fupi ilifanyika katika ukumbi…

Read More

Rodri ashinda Ballon d’Or – DW – 29.10.2024

Kiungo wa kati wa Manchester City na Uhispania Rodri ameshinda tuzo ya mchezaji bora duniani ya Ballon d’Or. Rodri alishinda taji la Ligi ya Premier ya England na la Euro 2024. Uamuzi wa kumtuza kiungo huyo mkabaji ilijiri kwa mshangao, kwa vile mshindi wa taji la La Liga na Ligi ya Mabingwa Ulaya Vinicius Junior…

Read More