Nini Kiliharibika? – Masuala ya Ulimwenguni

Kathmandu chini ya maji kwa sababu ya mvua kubwa, ambayo ilipoteza maisha ya zaidi ya 225 katika wiki iliyopita ya Septemba. Picha: Barsha Shah/IPS na Tanka Dhakal (kathmandu) Alhamisi, Oktoba 03, 2024 Inter Press Service KATHMANDU, Oktoba 03 (IPS) – Nepal inajaribu kuokoa kutokana na mafuriko ya hivi majuzi na maporomoko ya ardhi yaliyosababishwa na…

Read More

Urusi yapiga mikoa mitano Ukraine usiku

  JESHI la Urusi limetumia ndege zisizo na rubani za kamikaze na shahid, katika maeneo ya Kaskazini na Kusini mwa Ukraine usiku kucha. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea). Jeshi la Anga la Ukraine, linaripoti kuwa mabomu ya shahid yalirushwa katika maeneo tofauti juu ya mikoa ya Sumy, Poltava, Cherkasy, Kherson na Nikolaev. Kituo cha…

Read More

WAZIRI MKUU RASMI MKUTANO WA KUMI WA WADAU WA LISHE.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Oktoba 03, 2024 anafunga mkutano wa Kumi wa Wadau wa Lishe unaofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Malaika Beach Resort, Jijini Mwanza. lengo la Mkutano huo ni kudumisha dhamira ya pamoja ya Serikali na wadau katika kuongeza msukumo na uwekezaji katika kutekeleza Mpango Jumuishi wa Taifa wa Lishe ili kukabiliana…

Read More

MATHIAS CANAL AMPA MAUA YAKE DKT MWIGULU// ACHANGIA MIL 4.2 SHULE YA MSINGI KIOMBOI HOSPITALI WILAYANI IRAMBA

Mwandishi wa habari wa WazoHuru Media Ndg Mathias Canal amewata wananchi Mkoani Singida kuendelea kumuunga mkono Mbunge wa Jimbo la Iramba Magharibu ambaye ni Waziri wa Fedha Mhe. Dkt Mwigulu Lameck Nchemba kutokana na kazi nzuri anayoendelea kuifanya katika Taifa la Tanzania. Amewataka wananchi kumuombea, kumtia moyo na kumpa ushirikiano ili aweze kufikia adhma yake…

Read More

HOSPITALI YA BENJAMIN MKAPA WATEMBELEWA NA ABBOT, YAAHIDI KUENDELEA KUSHIRIKIANA

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Mkuu wa Idara ya Magonjwa ya Dharura Hospitali ya Benjamini Mkapa Dkt. George Dilunga ametoa rai kwa wanafunzi wanaopata nafasi ya kupata Mafunzo ya kutoa Huduma ya Dharura kutumia vizuri elimu wanayopata katika kuhudumia wagonjwa. Kauli hiyo imetolewa wakati Ujumbe wa Abbott Fund uliongozwa Mkurugenzi wake Robert Ford uliotembelea kujionea…

Read More