NSSF YAKUTANA NA WAHARIRI NCHINI

Yatambulisha Skimu ya Taifa ya Hifadhi ya Jamii ya Sekta Isiyo Rasmi (NISS) *Sasa mwanachama kufungua madai ya mafao kidijitali ‘online’ *Yaweka kipaumbele cha matumizi ya TEHAMA, zaidi ya asilimia 82% sasa zinafanyika kutumia mifumo Yatoa Tuzo kwa Vyombo vya Habari vinavyotekeleza vyema sheria ya NSSF, yatambua mchango wa wahariri wastaafu Na MWANDISHI WETU, Dar…

Read More

TAARIFA KWA UMMA | Mwananchi

Tunasikitika kuwaarifu wasomaji wetu wapendwa kuwa tunalazimika kusitisha uchapishaji wa maudhui mtandaoni kuanzia sasa kufuatia Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kusitisha leseni zetu za utoaji wa huduma ya maudhui mtandaoni kwa siku 30 kutokana na kuchapisha maudhui yaliyozuiwa yanayokiuka Kanuni za Maudhui ya Mtandaoni za 2020. Mwananchi Communications Limited (MCL) inaahidi kuwaletea wateja na wasomaji…

Read More

ECOBANK TANZANIA YAWAKUTANISHA WATEJA WAKE JIJINI MWANZA

Wakati dunia ikiadhimisha wiki ya huduma kwa wateja, Ecobank Tanzania imeungana na ulimwengu mwezi huu wa Oktoba kuadhimisha wiki hiyo kwa kualika wateja wake wa jijini Mwanza pamoja na kutambulisha huduma zake mpya ambazo zitasaidia wateja wake. Akizungumza Mkurugenzi Mtendaji wa Ecobank Tanzania, Charles Asiedu amesema benki hiyo imejidhatiti kutoa suluhu kwa wateja wa huduma…

Read More

VIJIJI VYOTE MTWARA VIMEFIKISHIWA UMEME SASA NI ZAMU YA VITONGOJI

-BILIONI 16.7 KUSAMBAZA UMEME VITONGOJI 150 -KUNUFAISHA KAYA 4,950 Baada ya kukamilisha usambazaji wa umeme katika vijiji vyote 785 Mkoani Mtwara, Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) inatekeleza mradi wa shilingi bilioni 16.7 wa kusambaza umeme kwenye vitongoji 150 utakaonufaisha kaya 4,950 mkoani humo. Mhandisi Msimamizi wa Miradi ya Umeme REA Kanda ya Kusini,…

Read More

INGIA UVUVINI NDANI YA MERIDIANBET USHINDE MKWANJA

JE, Unapenda Uvuvi? Meridianbet Kasino ya Mtandaoni imekuandalia safari ya kushangaza kwa ajili yako mwezi huu wa Septemba! Endelea kucheza moja ya michezo ya kasino ya mtandaoni hapa chini, na unaweza kushinda zawadi kabambe na pesa kibao! • Big Bass Bonanza: Keeping it Real • Big Bass Bonanza: Amazon Extreme • Big Bass Bonanza: Hold…

Read More

HADITHI: Bomu Mkononi – 19

Baada ya kulisimamisha gari, tuliingia ndani. Nilimuona mama yake. Alikuwa amekaa sebuleni. Alikuwa mwanamke mnene na mfupi. Nilimkadiria umri wake kuwa ulishafikia miaka themanini. Alikuwa amevaa dera na alikuwa amevaa hijab. Baada ya kumuamkia. Mustafa alimwambia hapo hapo.

Read More