Mkufunzi IJF awapa darasa makocha, waamuzi wa Judo

MKUFUNZI wa Shirikisho la Judo la Kimataifa (IJF), Erdan Dogan amewataka makocha na waamuzi wa mchezo huo nchini kuona umuhimu wa kufundisha timu za vijana. Dogan amekwenda mbali zaidi na kueleza kwamba hakuna nchini iliyofanikiwa katika michezo bila kuwekeza kwenye timu za vijana. Mkufunzi huyo wa kimataifa kutoka Uturuki amebainisha hayo jana Oktoba Mosi alipokuwa…

Read More

Simbachawe ataja umuhimu wapinzani kukosoa, atoa angalizo

Rorya. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene amesema hakuna sababu ya viongozi wa Serikali na wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kukasirika pale vyama vya upinzani vinapowakosoa kwani kwa kufanya hivyo, vyama hivyo vinatimiza takwa la kikatiba. Simbachawene ameyasema hayo leo Jumatano, Oktoba 2, 2024 kwenye…

Read More

Pamba Jiji yaingia na mambo mawili kwa Yanga

KOCHA Msaidizi wa Pamba Jiji, Henry Mkanwa, ameyataja mambo mawili ambayo wataingia nayo kesho Alhamisi katika mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Yanga. Pamba Jiji itacheza mchezo huo wa saba kwao katika ligi msimu huu wakiwa ugenini kwenye Uwanja wa Azam Complex, Dar es Salaam kuanzia saa 12:30 jioni. Katika mechi sita zilizopita, Pamba…

Read More

Straika Coastal apiga hesabu za Simba

WAKATI safu ya ulinzi ya Simba ikiongozwa na beki Mcameroon, Che Malone Fondoh ikiwa haijaruhusu bao lolote katika mechi nne za Ligi Kuu Bara msimu huu, imeonekana kumpa kazi mpya mshambuliaji wa Coastal Union, Maabad Maulid, akianza kupuiga hesabu kali kabla ya kesho timu hizo kukutana. Maabad  ndiye mshambuliaji kinara wa Coastal, akiwa na mabao…

Read More

Israel yampiga marufuku katibu mkuu wa UN

  WAZIRI wa mambo ya nje wa Israel amesema Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN) António Guterres ”Hana ruhusa” kuingia Israel na amepigwa marufuku nchini humo. Israel Katz anasema uamuzi wake unafuatia hatua ya Guterres “kutolaani” shambulio la kombora la Iran dhidi ya Israel siku ya Jumanne. Anamshutumu mkuu huyo wa Umoja wa Mataifa…

Read More