Mashujaa yaipiga mkwara Singida Big Stars

KIWANGO kizuri ilichoanza nacho msimu huu kwenye Ligi Kuu Bara ikiwa haijapoteza mchezo na kuvuna alama tisa, kimewafanya mabosi wa Mashujaa FC kupata jeuri na kutamba kwamba wanazitaka nafasi nne za juu huku wakiahidi ushindi kwenye mchezo ujao dhidi ya vinara wa ligi hiyo, Singida Black Stars.Mashujaa inakamata nafasi ya sita ikiwa na alama tisa…

Read More

AbalKassim apotezea ushindi wa TZ Prisons

FOUNTAIN Gate juzi ilipoteza mechi ugenini mbele ya Tanzania Prisons iliyowanyoa mabao 3-2 kwenye Uwanja wa Sokoine, jijini Mbeya, lakini kiungo mshambuliaji wa timu hiyo, Abalkassim Suleiman amesema hakuna walichowazidiwa na wenyeji wao licha ya kupoteza pambano hilo.Hilo lilikuwa pambano la pili kwa Fountain kupoteza ugenini baada ya awali kuchapwa mabao 4-0 na Simba, huku…

Read More

TANZANIA MWENYEJI KONGAMANO LA 10 LA JOTOARIDHI AFRIKA

Na Mwandishi wetu Dodoma Wizara ya Nishati kwa kushirikiana na Kampuni ya Uendelezaji Joto Ardhi Tanzania (TGDC) pamoja na Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Mazingira (UNEP) imeandaa Kongamano la 10 la Jotoardhi Afrika (ARGeo-C10) ambalo litachagiza adhma ya Serikali ya matumizi ya nishati safi ya kupikia. Kongamano hilo linatarajiwa kufanyika jijini Dar…

Read More