Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: October 2024

  • Home
  • 2024
  • October
  • Page 166
Michezo

HADITHI: Bomu Mkononi – 16

October 2, 2024 Admin

UFUNDI wote niliofundwa kwa kungwi nilipanga kuumalizia kwake ili nihakikishe kuwa Mustafa anakuwa haoni wala hasikii juu yangu. Na itakapokuwa hivyo nitajihakikishia kuwa gari ninalipata

Read More
Habari

Sita washikiliwa Polisi madai ya mauaji mkaguzi wa ndani Korogwe

October 2, 2024 Admin

Tanga. Siku tisa tangu yalipotokea mauaji ya Jonais Shao, aliyekuwa Mkaguzi wa Ndani wa Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga, pamoja na mwanawe na

Read More
Habari

WAZIRI BASHE ATOA SAA 24 KAMPUNI YA RV KULIPA MADENI YA WAKULIMA

October 2, 2024 Admin

WAZIRI wa Kilimo Mhe. Hussein Bashe ametoa saa 24 kwa kampuni ya RV inayonunua mazao Masasi mkoani Lindi kulipa madeni ya wakulima huku akiagiza vyombo

Read More
Michezo

Mlandizi Queens imekuja kuwashika! | Mwanaspoti

October 2, 2024 Admin

MLANDIZI  Queens ni miongoni mwa timu zenye umaarufu na historia kubwa nchini mbali ya Simba Queens na Yanga Princess, ikiwa imeshatwaa ubingwa wa Tanzania msimu

Read More
Habari

Tanesco yaibuka mshindi wa kwanza maonesho ya TIMEXPO 2024

October 2, 2024 Admin

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) limeibuka mshindi wa kwanza katika kipengele cha Ubunifu na Muonekano mzuri wa banda katika Maonesho

Read More
Habari

Ajali yaua wawili Pemba | Mwananchi

October 2, 2024 Admin

Pemba. Watu wawili akiwemo mwalimu wa Shule ya Msingi Finya wamefariki dunia na wengine kujeruhiwa kutokana na ajali ya gari iliyotokea maeneo ya Kinazini Wingwi

Read More
Habari

MAKAMU WA RAIS AKIWASILI ARUSHA KUSHIRIKI MKUTANO WA MABUNGE YA JUMUIYA YA MADOLA

October 2, 2024 Admin

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Arusha leo tarehe 02 Oktoba 2024.

Read More
Michezo

HADITHI: Bomu Mkononi – 17

October 2, 2024 Admin

Nilimtaka mlinzi huyo kwa akili yangu kwani nilishapanga kuhamia nyumbani kwa Mustafa pindi mume wangu awapo safarini, hivyo nilitaka nyumba yetu iwe inalindwa usiku ili

Read More
Habari

Vijana 181 wenye ulemavu wa akili wanufaika ufundi stadi

October 2, 2024 Admin

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Vijana 181 wenye ulemavu wa akili kutoka Manispaa ya Morogoro na Halmashauri ya Mji Mdogo Ifakara wamepatiwa mafunzo ya ufundi

Read More
Habari

Anayedaiwa kuchukuliwa na askari kwa mahojiano akutwa ameuawa Zanzibar

October 2, 2024 Admin

“Mwanangu ameuawa, kifo cha kikatili naomba haki itendeke waliofanya hivi wachunguzwe, ni kweli kifo kipo lakini sio cha namna hii…” Hii ni kauli ya Saada

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 165 166 167 … 184 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.