UFUNDI wote niliofundwa kwa kungwi nilipanga kuumalizia kwake ili nihakikishe kuwa Mustafa anakuwa haoni wala hasikii juu yangu. Na itakapokuwa hivyo nitajihakikishia kuwa gari ninalipata
Month: October 2024

Tanga. Siku tisa tangu yalipotokea mauaji ya Jonais Shao, aliyekuwa Mkaguzi wa Ndani wa Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga, pamoja na mwanawe na

WAZIRI wa Kilimo Mhe. Hussein Bashe ametoa saa 24 kwa kampuni ya RV inayonunua mazao Masasi mkoani Lindi kulipa madeni ya wakulima huku akiagiza vyombo

MLANDIZI Queens ni miongoni mwa timu zenye umaarufu na historia kubwa nchini mbali ya Simba Queens na Yanga Princess, ikiwa imeshatwaa ubingwa wa Tanzania msimu

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) limeibuka mshindi wa kwanza katika kipengele cha Ubunifu na Muonekano mzuri wa banda katika Maonesho

Pemba. Watu wawili akiwemo mwalimu wa Shule ya Msingi Finya wamefariki dunia na wengine kujeruhiwa kutokana na ajali ya gari iliyotokea maeneo ya Kinazini Wingwi

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Arusha leo tarehe 02 Oktoba 2024.

Nilimtaka mlinzi huyo kwa akili yangu kwani nilishapanga kuhamia nyumbani kwa Mustafa pindi mume wangu awapo safarini, hivyo nilitaka nyumba yetu iwe inalindwa usiku ili

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Vijana 181 wenye ulemavu wa akili kutoka Manispaa ya Morogoro na Halmashauri ya Mji Mdogo Ifakara wamepatiwa mafunzo ya ufundi

“Mwanangu ameuawa, kifo cha kikatili naomba haki itendeke waliofanya hivi wachunguzwe, ni kweli kifo kipo lakini sio cha namna hii…” Hii ni kauli ya Saada