
HADITHI: Bomu Mkononi – 16
UFUNDI wote niliofundwa kwa kungwi nilipanga kuumalizia kwake ili nihakikishe kuwa Mustafa anakuwa haoni wala hasikii juu yangu. Na itakapokuwa hivyo nitajihakikishia kuwa gari ninalipata tu, Mustafa hatakuwa na ujanja!
UFUNDI wote niliofundwa kwa kungwi nilipanga kuumalizia kwake ili nihakikishe kuwa Mustafa anakuwa haoni wala hasikii juu yangu. Na itakapokuwa hivyo nitajihakikishia kuwa gari ninalipata tu, Mustafa hatakuwa na ujanja!
Tanga. Siku tisa tangu yalipotokea mauaji ya Jonais Shao, aliyekuwa Mkaguzi wa Ndani wa Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga, pamoja na mwanawe na msichana wake wa kazi za ndani, Jeshi la Polisi limesema linawashilikia watuhumiwa sita. Tukio hilo la mauaji ya Jonais (46), mwanawe Dedan Shao (8), mwanafunzi wa darasa la tatu na…
WAZIRI wa Kilimo Mhe. Hussein Bashe ametoa saa 24 kwa kampuni ya RV inayonunua mazao Masasi mkoani Lindi kulipa madeni ya wakulima huku akiagiza vyombo vya ulinzi na usalama kuwashikilia viongozi wastaafu wa ushirika ambao wamehusika na ubadhilifu wa zaidi ya sh.milioni 139. Pia amesema, serikali inakwenda kufumua mfumo wa mauzo na ugawaji wa ruzuku…
MLANDIZI Queens ni miongoni mwa timu zenye umaarufu na historia kubwa nchini mbali ya Simba Queens na Yanga Princess, ikiwa imeshatwaa ubingwa wa Tanzania msimu wa 2016/17 na kutoa wachezaji mahiri akiwamo Mwanahamis Omary ‘Gaucho’, Donisia Minja na Asha Mwalala. Mlandizi wanarudi Ligi Kuu ya Wanawake (WPL) baada ya misimu miwili tangu waliposhuka daraja mwaka…
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) limeibuka mshindi wa kwanza katika kipengele cha Ubunifu na Muonekano mzuri wa banda katika Maonesho ya Pili ya Kimataifa ya Viwanda Tanzania (TIMEXPO 2024). Tanesco imekabidhiwa tuzo hiyo ya ushindi leo Oktoba 2,2024 na Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk. Selemani Jafo, wakati wa kufunga…
Pemba. Watu wawili akiwemo mwalimu wa Shule ya Msingi Finya wamefariki dunia na wengine kujeruhiwa kutokana na ajali ya gari iliyotokea maeneo ya Kinazini Wingwi Wilaya ya Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba. Daktari wa Hospitali ya Micheweni, Hamad Mbwana Shoka ameieleza Mwananchi Digital leo Oktoba 2, 2024 kwamba wamepokea watu saba ambapo kati ya hao,…
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Arusha leo tarehe 02 Oktoba 2024. Makamu wa Rais anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Ufunguzi wa Mkutano wa 53 wa Mwaka wa Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika utakaofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa…
Nilimtaka mlinzi huyo kwa akili yangu kwani nilishapanga kuhamia nyumbani kwa Mustafa pindi mume wangu awapo safarini, hivyo nilitaka nyumba yetu iwe inalindwa usiku ili wezi wasije wakatuibia.
Na Nora Damian, Mtanzania Digital Vijana 181 wenye ulemavu wa akili kutoka Manispaa ya Morogoro na Halmashauri ya Mji Mdogo Ifakara wamepatiwa mafunzo ya ufundi stadi kuwawezesha kuondokana na utegemezi na kujikwamua kiuchumi. Mafunzo hayo yametolewa kwa ushirikiano wa Shirika lisilokuwa la kiserikali linaloshughulikia maendeleo ya wanawake na vijana (Mwayodeo) la mkoani Morogoro na Taasisi…
“Mwanangu ameuawa, kifo cha kikatili naomba haki itendeke waliofanya hivi wachunguzwe, ni kweli kifo kipo lakini sio cha namna hii…” Hii ni kauli ya Saada Ramadhan Mwendwa mama mzazi wa Ramadhan Idd Shaaban (48) akianza kusimulia jinsi mwanaye alivyochukuliwa na watu waliojitambulisha ni askari wakidai wanakwenda kufanya mahojiano naye lakini aliokotwa akiwa amefariki dunia eneo…