“HALI YA LISHE INAENDELEA KUIMARIKA NCHINI” DKT. YONAZI

NA. MWANDISHI WETU Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge na Uratibu Dkt. Jim Yonazi amesema hali ya lishe nchini imeendelea kuimarika kwa kwa kuzingatia Takwimu zinaonesha kupungua kwa viwango vya utapiamlo kwa baadhi ya viashiria ikiwemo kiwango cha udumavu kwa watoto wenye umri chini ya miaka mitano ambacho ndio kiashiria…

Read More

Diwani CCM mbaroni, Bashe acharuka Masasi

Masasi. Diwani wa Chiwale (CCM), wilayani Masasi, Yusuph Mataula amejikuta mikononi mwa vyombo vya dola akitakiwa kusaidia uchunguzi katika sakata la ubadhirifu wa Sh139 milioni. Fedha hizo ni malipo yaliyopaswa kufanywa kwa wakulima wa korosho wanachama wa Chama cha Msingi cha Ushirika cha Nanyindwa Amcos katika msimu wa 2016/17. Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe ametoa…

Read More

Wadau wa haki jinai wabainisha tishio la uhalifu wa mtandao

Dar es Salaam. Wadau wa haki jinai kutoka taasisi mbalimbali nchini Tanzania wamenolewa kwa kupewa mafunzo ya namna ya kukabiliana na tatizo la uhalifu wa kimtandao huku wawezeshaji wa mafunzo wakibainisha hali ya uhalifu huo ilivyo nchini na duniani. Mafunzo hayo ya siku tatu yanayofanyika jijini Dar es Salaam, yamefunguliwa leo Jumatano, Septemba 2, 2024…

Read More

SEKTA YA VIWANDA NA UWEKEZAJI YAPAA MKOANI PWANI

AJENDA ya kuleta Mapinduzi kwenye sekta ya Viwanda nchini, inazidi kushika kasi ambapo mkoa wa Pwani umejipambanua kuwa kinara kutekeleza ajenda hii kwa kuwa na viwanda 1,535 mwaka 2024 ,kutoka viwanda 396 mwaka 2016. Hatua hii inaacha alama katika kuinua sekta ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji mkoani humo ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa Dira…

Read More

Huyo Mutale Simba, kununa sio ishu zake

WINGA wa Simba, Joshua Mutale hana noma na mtu, kila mchezaji ndani ya kikosi hicho ni mshikaji wake, hapendi kununa, badala yake kila anapokuwepo lazima aache kicheko kwa wengine. Mwanaspoti lilimuuliza Mutale mara nyingi anaonekana akiwachekesha wachezaji wenzake je, ana mpango huko baadaye kuwa mchekeshaji? Naye amejibu; “Sina mpango kabisa, ila ninapokuwa na wenzangu napenda…

Read More

Anayedaiwa kuchukuliwa na Polisi kwa mahojiano akutwa ameuawa Zanzibar

“Mwanangu ameuawa, kifo cha kikatili naomba haki itendeke waliofanya hivi wachunguzwe, ni kweli kifo kipo lakini sio cha namna hii…” Hii ni kauli ya Saada Ramadhan Mwendwa mama mzazi wa Ramadhan Idd Shaaban (48) akianza kusimulia jinsi mwanaye alivyochukuliwa na watu waliojitambulisha ni askari wakidai wanakwenda kufanya mahojiano naye lakini aliokotwa akiwa amefariki dunia eneo…

Read More