
Zifahamu nguzo 10 za kampeni
Dodoma. Wakati mchakato kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika Novemba 27, 2024 ukiendelea, wagombea na wananchi wanapaswa kutambua nguzo 10 za kufanya kampeni. Uchaguzi huo ni mchakato muhimu katika demokrasia ya nchi, kwani unawawezesha wananchi kuchagua viongozi watakaowawakilisha katika ngazi za chini za utawala. Kampeni za kistaarabu ni muhimu katika kuhakikisha uchaguzi unafanyika kwa…