Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: October 2024

  • Home
  • 2024
  • October
  • Page 168
Habari

Zifahamu nguzo 10 za kampeni

October 2, 2024 Admin

Dodoma. Wakati mchakato kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika Novemba 27, 2024 ukiendelea, wagombea na wananchi wanapaswa kutambua nguzo 10 za kufanya kampeni. Uchaguzi

Read More
Habari

Ahukumiwa miaka mitano jela kwa jaribio kuua

October 2, 2024 Admin

Geita. Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Geita imemhukumu kifungo cha miaka mitano jela Matokeo Petro (34), mkazi wa Bukombe mkoani Geita baada ya kutiwa hatiani

Read More
Habari

Kabendera atangaza kukata rufaa dhidi ya Vodacom

October 2, 2024 Admin

Dar es Salaam. Mwanahabari, Erick Kabendera ametangaza uamuzi wa kukata rufaa dhidi ya pingamizi lililozuia kuendelea kwa kesi yake anayokabiliana na Kampuni ya mtandao wa

Read More
Habari

DKT NCHEMBA AISHUKURU IMF KWA KUCHANGIA MAENDELEO YA NCHI

October 2, 2024 Admin

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) (Kulia), akiwa katika picha ya pamoja na Kiongozi wa Timu ya Wataalamu kutoka Shirika la Fedha

Read More
Habari

TBA yatoa Notisi wadaiwa sugu 648

October 2, 2024 Admin

Na Mwandishi Wetu,Michuzi TV WAKALA wa Majengo Tanzania (TBA) umetoa notisi kwa wadaiwa sugu 648 wa kodi ya pango ya sh. bilioni 14.8 katika mikoa

Read More
Magazeti Michezo

KIJIWENI: Mastaa wa Morocco na rekodi za kusisimua kimataifa

October 2, 2024 Admin

MOROCCO kwa sasa inakamilisha maandalizi ya fainali za 35 za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) zitakazofanyika kuanzia Jumamosi ya Januari 5-26, mwakani. Hii ni

Read More
Habari

Mashambulizi ya Iran yapandisha bei ya mafuta

October 2, 2024 Admin

Muda mfupi kabla ya Iran kurusha mamia ya makombora Israel usiku wa kumkia leo Oktoba 2, 2024, tayari bei ya mafuta imeshaanza kupanda. Mashambulio hayo

Read More
Habari

Kwa nini ZRA imevuka lengo la makusanyo

October 2, 2024 Admin

Unguja. Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA), imevuka lengo la ukusanyaji mapato kwa kipindi cha robo ya kwanza ya mwaka wa fedha 2024/25, kuimarika na kuongezeka

Read More
Habari

Upelelezi kesi waliokuwa vigogo TPA wakamilika, kusomewa maelezo yao Oktoba 15

October 2, 2024 Admin

Dar es Salaam. Serikali imepanga Oktoba 15, 2024 kuwasomea maelezo ya mashahidi na vielelezo (Commital Proceedings), aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA),

Read More
Habari

Mkaguzi kata ya Kisangura azidi kupeleka furaha kwa wananchi

October 2, 2024 Admin

Mkaguzi kata ya Kisangura Wilayani Serengeti Mkoa wa Mara Mkaguzi Msaidizi wa Polisi A/Insp Genuine Kimario amezidi kupeleka furaha kwa wananchi anaowahudumia katani hapo kwa

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 167 168 169 … 184 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.