Dk. Mwigulu  aishukuru IMF – Mtanzania

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Waziri wa Fedha, Dk. Mwigulu Nchemba, amelishukuru Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) kwa mchango wake mkubwa katika maendeleo ya Taifa kupitia misaada na mikopo nafuu inayoipatia Tanzania kwa ajili ya kutekeleza miradi mbalimbali na kukuza uchumi wa nchi. Dk. Nchemba ametoa shukrani hizo jijini Dodoma, wakati akifungua vikao vya majadiliano…

Read More

Dk. Biteko ataka ulinzi miundombinu ya shule

Na Mwandishi Wetu Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amewataka wazazi na walezi nchini kutumia fursa ya miundombinu ya shule inayojengwa kwa ushirikiano wa Serikali na wafadhili kuwasomesha watoto na hatimaye kuchochea maendeleo. Dk. Biteko amesema hayo wakati akizindua miundombinu ya Shule ya Sekondari ya Milles and Kimbery White iliyojengwa kwa…

Read More