Kocha Simba afikisha siku 681 rumande, upelelezi bado

KOCHA wa zamani wa makipa wa timu ya Simba, Muharami Sultani (40) maarufu kama Shilton na wenzake, wanaendelea kusota rumande kwa siku 681 hadi sasa kutokana na upelelezi wa shauri hilo kutokamilika. Sultan na wenzake watano wanakabiliwa na mashtaka manane yakiwamo ya kusafirisha dawa za kulevya aina ya heroine zenye uzito wa kilo 34.89 pamoja…

Read More

Wabunge waliosimama na Gachagua hawa hapa

Dar es Salaam. Wabunge 58 wa Bunge la Kitaifa la Kenya hawakutia saini hoja ya kumtimua Naibu Rais, Rigathi Gachagua iliyowasilishwa rasmi katika Bunge hilo, Jumanne Oktoba Mosi, 2024. Haijabainika iwapo baadhi ya wabunge hao walikataa kutia saini hoja hiyo kwa sababu ya kutokuwemo ndani ya Bunge kwa sababu moja au nyingine au wanapinga kumrudisha…

Read More

Sababu ongezeko wagonjwa wa vifua, mafua

Dar es Salaam. Wizara ya Afya imesema kuna ongezeko la virusi wanaosababisha homa kali ya mafua inayoambukiza maarufu influenza, waliyotaja kusababishwa na mabadiliko ya hali ya hewa. Homa hiyo ambayo husababisha ugonjwa wa vifua inaongezeka katika baadhi ya maeneo nchini, huku wataalamu wa afya wakitoa angalizo kuacha kutumia kiholela antibaotiki na badala yake wakiwashauri wagonjwa…

Read More

Wananchi kushirikishwa mchakato wa kumng’oa Gachagua

Nairobi. Spika wa Bunge la Kitaifa la Kenya, Moses Wetang’ula ametangaza ushiriki wa umma katika hoja ya kumng’oa madarakani Naibu Rais, Rigathi Gachagua Ijumaa, Oktoba 4, 2024. Kwa mujibu wa tovuti ya The Standard, mchakato huo utafanyika katika kaunti zote 47 na Katibu wa Bunge atatoa taarifa kamili kupitia matangazo ya vyombo vya habari kuanzia…

Read More

TRA yavunja rekodi ikikusanya trilioni 3.1/= Septemba

  MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), imekusanya Sh. 3.1 trilioni mwezi Septemba, ikivunja rekodi yake ya makusanyo kwa mara ya kwanza kufikia kiasi hicho cha fedha. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Kamishna Mkuu wa TRA, Yusuph Mwenda, aliwaambia waandishi wa habari jana Oktoba Mosi, jijini Dar es Salaam, alipokuwa anatoa taarifa ya…

Read More

Huu ndiyo ukweli wa jina Debora

KWA sasa katika Ligi Kuu Bara, moja ya majina yanayoimbwa sana ni Debora Fernandes Mavambo, huku jina hilo likiacha maswali kwa mashabiki wa soka. Hata hivyo, mwenyewe anafichua mengi kuhusu jina hilo na maana zake. Kama ilivyozoeleka ni jina la ‘kike’ kwa hapa nchini, lakini kwao alikozaliwa Angola, Congo na Gabon anakoichezea timu ya taifa…

Read More

Hofu yatanda Mashariki ya Kati baada ya mashambulizi ya Iran – DW – 02.10.2024

Usiku wa kuamkia Jumatano, Iran ilivurumisha makombora ya masafa marefu yapatayo 180 kuelekea Israel ikisema ilikuwa ikiyalenga maeneo na miundombinu ya kijeshi. Hata hivyo, Israel imesema asilimia kubwa ya makombora hayo yalinaswa na kuharibiwa na mfumo wa ulinzi wa anga kwa kusaidiwa na washirika wake kama Marekani, Uingereza na Ufaransa. Lakini Tehran imesisitiza kuwa makombora…

Read More

Iran yanyesha mvua ya mabomu, Israel waapa kujibu

Katika hali iliyotarajiwa, Iran imeishambulia kwa mabomu Israel usiku wa kuamkia leo Jumatano, Oktoba 2, 2024. Mashambulio hayo yamefanyika kutokana na vita vinavyoendelea kati ya Israel na kundi la Hezbollah la Lebanon. Israel ilianzisha mashambulizi katika mji wa Beirut nchini Lebanon na kusababisha mauaji ya aliyekuwa kiongozi wa kundi hilo, Hassan Nasrallah. Shirika la Utangazaji…

Read More