Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: October 2024

  • Home
  • 2024
  • October
  • Page 170
Michezo

Kocha Simba afikisha siku 681 rumande, upelelezi bado

October 2, 2024 Admin

KOCHA wa zamani wa makipa wa timu ya Simba, Muharami Sultani (40) maarufu kama Shilton na wenzake, wanaendelea kusota rumande kwa siku 681 hadi sasa

Read More
Habari

Wabunge waliosimama na Gachagua hawa hapa

October 2, 2024 Admin

Dar es Salaam. Wabunge 58 wa Bunge la Kitaifa la Kenya hawakutia saini hoja ya kumtimua Naibu Rais, Rigathi Gachagua iliyowasilishwa rasmi katika Bunge hilo,

Read More
Habari

Sababu ongezeko wagonjwa wa vifua, mafua

October 2, 2024 Admin

Dar es Salaam. Wizara ya Afya imesema kuna ongezeko la virusi wanaosababisha homa kali ya mafua inayoambukiza maarufu influenza, waliyotaja kusababishwa na mabadiliko ya hali

Read More
Habari

Wananchi kushirikishwa mchakato wa kumng’oa Gachagua

October 2, 2024 Admin

Nairobi. Spika wa Bunge la Kitaifa la Kenya, Moses Wetang’ula ametangaza ushiriki wa umma katika hoja ya kumng’oa madarakani Naibu Rais, Rigathi Gachagua Ijumaa, Oktoba

Read More
Habari

TRA yavunja rekodi ikikusanya trilioni 3.1/= Septemba

October 2, 2024 Admin

  MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), imekusanya Sh. 3.1 trilioni mwezi Septemba, ikivunja rekodi yake ya makusanyo kwa mara ya kwanza kufikia kiasi hicho cha

Read More
Habari

Barabara za Afrika ni hatari zaidi duniani – DW – 02.10.2024

October 2, 2024 Admin

Afrika yenye barabara na magari machache zaidi katika eneo lolote duniani, lakini ni bara lenye idadi kubwa ya watu wanaokufa kutokana na ajali za barabarani.

Read More
Habari

Mfanyabiashara wa madini auawa mlima wa maombi, wauaji watuma meseji…

October 2, 2024 Admin

Arusha. Mwili wa mfanyabiashara wa madini ya ujenzi, David Mollel mkazi wa Kata ya Moivaro, umekutwa ukining’inia kwenye mti juu ya Mlima Oldonyowas, jirani na

Read More
Michezo

Huu ndiyo ukweli wa jina Debora

October 2, 2024 Admin

KWA sasa katika Ligi Kuu Bara, moja ya majina yanayoimbwa sana ni Debora Fernandes Mavambo, huku jina hilo likiacha maswali kwa mashabiki wa soka. Hata

Read More
Habari

Hofu yatanda Mashariki ya Kati baada ya mashambulizi ya Iran – DW – 02.10.2024

October 2, 2024 Admin

Usiku wa kuamkia Jumatano, Iran ilivurumisha makombora ya masafa marefu yapatayo 180 kuelekea Israel ikisema ilikuwa ikiyalenga maeneo na miundombinu ya kijeshi. Hata hivyo, Israel

Read More
Habari

Iran yanyesha mvua ya mabomu, Israel waapa kujibu

October 2, 2024 Admin

Katika hali iliyotarajiwa, Iran imeishambulia kwa mabomu Israel usiku wa kuamkia leo Jumatano, Oktoba 2, 2024. Mashambulio hayo yamefanyika kutokana na vita vinavyoendelea kati ya

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 169 170 171 … 184 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.