
WADAU WA JOTOARDHI KUKUTANA TANZANIA
Meneja Makuu wa Kampuni ya Uendelezaji Jotoardhi Tanzania (TGDC),Mathew Mwangomba, akizungumza na waandishi wa habari leo Oktoba 2,2024 jijini Dodoma kuelekea kwenye Kongamano la 10 la Jotoardhi Afrika litakalofanyika kuanzia Oktoba 21 hadi 27,mwaka huu jijini Dar es Salaam. Na.Alex Sonna-DODOMA WIZARA ya Nishati kwa kushirikiana na Kampuni ya Uendelezaji Jotoardhi Tanzania (TGDC) pamoja na…