Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: October 2024

  • Home
  • 2024
  • October
  • Page 171
Habari

WADAU WA JOTOARDHI KUKUTANA TANZANIA

October 2, 2024 Admin

Meneja Makuu wa Kampuni ya Uendelezaji Jotoardhi Tanzania (TGDC),Mathew Mwangomba, akizungumza na waandishi wa habari leo Oktoba 2,2024 jijini Dodoma kuelekea kwenye Kongamano la 10

Read More
Habari

Mfuko wa Hifadhi ya Jamii NSSF umeongezeka hadi kufikia Trilioni 8.5 mwaka 2024

October 2, 2024 Admin

Mfuko wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umeongezeka kutoka  Tirioni 4.8 mwaka 2021 hadi kufikia tirioni 8.5 mwaka 2024 ongezeko hilo likichangiwa kutokana na wingi wa

Read More
Habari

Tume kuandika wapigakura wapya 14,878 Z’bar, ACT-Wazalendo watoa neno

October 2, 2024 Admin

Unguja. Wakati maboresho ya daftari la mpigakura yakitarajia kuanza Oktoba 7 hadi 13, 2024, wapiga kura wapya 14,878 wanatarajiwa kuandikishwa kisiwani humo ambao watakuwa na

Read More
Michezo

Aliyekuwa kocha wa makipa wa Simba afikisha siku 681 akiwa rumande

October 2, 2024 Admin

Dar es saalam. Aliyekuwa kocha wa makipa wa timu ya Simba Sport Club, Muharami Sultani (40) na wenzake, wanaendelea kusota rumande kwa siku 681 hadi

Read More
Kimataifa

Azimio 1701 la Baraza la Usalama ni nini? – Masuala ya Ulimwenguni

October 2, 2024 Admin

Majadiliano hayo yanakuja wakati mashambulizi yakiongezeka kati ya Israel na Hezbollah, kundi lenye silaha ambalo linashikilia na washirika wake viti 62 kati ya 128 vilivyochaguliwa

Read More
Habari

ZIMEBAKI SIKU 10 TUU….WAHI TIKETI YAKO MAPEMA

October 2, 2024 Admin

 

Read More
Habari

Uchaguzi Chadema: Boni Yai kushinda akiwa gerezani?

October 2, 2024 Admin

Dar es Salaam. Meya wa zamani wa Ubungo, Boniface Jacob, maarufu Boni Yai atalazimika kupigiwa kura ya nafasi ya uenyekiti wa Chama cha Demokrasia na

Read More
Habari

Lina PG Tour yamsogeza Mollel karibu na Dubai

October 2, 2024 Admin

Na Mwandishi Wetu MCHEZAJI gofu ya kulipwa Nuru Mollel ana uhakika wa kutwaa ubingwa wa michuano baada ya kushinda raundi ya nne ya michuao ya

Read More
Habari

MAENDELEO YA TANZANIA YANATOKANA NA UHUSIANO MZURI WA KIDIPLOMASIA NA KIUCHUMI WA RAIS MHE. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN NA NCHI WAHISANI- MHE.SIMBACHAWENE 

October 2, 2024 Admin

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene akisisitiza jambo wakati akizungumza na Kamati ya Usalama, Wakuu

Read More
Habari

Tuone aibu kuzaa mtoto na kuachishwa shule – Dkt. Biteko

October 2, 2024 Admin

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka wazazi na walezi nchini kutumia fursa ya miundombinu ya shule inayojengwa kwa ushirikiano

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 170 171 172 … 184 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.