RC RUVUMA AWASHUKURU WAANDISHI ZIARA YA RAISI

Na Yeremias Ngerangera – Songea. Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Ahmed Abbas Ahmed aliwashukuru waandishi wa habari wa Mkoa wa Ruvuma Kwa kuitangaza vyema ziara ya Raisi alipokuwa Mkoani Ruvuma. Kanali Ahmed Abbas Ahmed aliwashukuru waandishi wa habari kwenye kikao alichokifanya na waandishi hao ofisini kwake mara baada ya kumalizika Kwa ziara ya Raisi…

Read More

Singida, Mashujaa vita ya kumaliza unyonge

KOCHA wa Singida Black Stars, Patrick Aussems anakabiliwa na kibarua cha kuiongoza timu hiyo kumaliza unyonge dhidi ya Mashujaa kwenye hekaheka za Ligi Kuu Bara ambazo zinatarajiwa kuendelea kesho, Jumatano, katika viwanja viwili tofauti – Lake Tanganyika, Kigoma na Jamhuri, Dodoma. Aussems na vijana wake watakuwa wageni wa Mashujaa katika Uwanja wa Lake Tanganyika, huku…

Read More

Tshabalala: Bado niponipo sana tu

KAMA ulikuwa unawaza nahodha wa Simba, Mohamed Hussein ‘Tshabalala’ anaweza akatundiga daruga hivi karibuni, basi sikia majibu yake. Tshabalala amejibu swali aliloulizwa na Mwanaspoti kutokana na kucheza kwa kiwango bora ndani ya misimu 10 katika kikosi cha Simba hawazi kustaafu? Na haya ndiyo majibu yake: “Sina wazo kabisa la kustaafu kwa sasa. Kikubwa nina nguvu…

Read More

TUMIENI MIFUMO RASMI KUHIFADHI FEDHA-PINDA

Na Mwandishi Wetu, MLELE Mbunge wa jimbo la Kavuu na Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi mhe. Geophrey Pinda amewataka wananchi kuhifadhi fedha zao katika mifumo rasmi ya kifedha kwa ajili ya usalama. Mhe. Pinda amesema hayo tarehe 01 Oktoba 2024 katika hafla ya uzinduzi wa tawi la Benki ya CRDB katika…

Read More

Mwalimu afichua siri ya kiwango chake, ashukuru kuitwa Stars

Mabao matano katika mechi sita alizocheza yamemuamsha straika wa Fountain Gate, Seleman Mwalimu akielezea siri ya mafanikio yake huku akitamba kulinda nafasi yake kikosini na timu ya Taifa ‘Taifa Stars’. Mwalimu ambaye ndio msimu wake wa kwanza kucheza Ligi Kuu amekuwa na kiwango bora akimshawishi kocha wake, Mohamed Muya kumuamini na kumpa nafasi. Akizungumza na…

Read More

Kocha Coastal awatolea uvivu chipukizi

KAIMU kocha mkuu wa Coastal Union, Joseph Lazaro amewachana wachezaji wanaochipukia kwa timu za Ligi Kuu Bara kwa kusema wanatakiwa kujituma zaidi na zaidi kwa kuonyesha ubora wao badala ya kulewa sifa ambazo zimekuwa zikifanya wapotee mapema baada ya kuwika ndani ya msimu mmoja tu. Lazaro ambaye enzi zake alizichezea Coastal Union, African sports za…

Read More

Aucho, Yanga kuna jambo | Mwanaspoti

PRESHA imeanza kupanda kuelekea dabi ya Kariakoo itakayopigwa Oktoba 19. Kambini Yanga, Kocha Miguel Gamondi kuna jambo linamfanya akune kichwa, lakini hana namna. Simba na Yanga zinavaana kwenye mchezo wa kwanza wa Ligi Kuu Bara  Oktoba 19 ikiwa ni mechi ambayo inasubiriwa kwa hamu kubwa baada ya timu hizo kukutana kwenye mchezo wa nusu fainali…

Read More