Na Yeremias Ngerangera – Songea. Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Ahmed Abbas Ahmed aliwashukuru waandishi wa habari wa Mkoa wa Ruvuma Kwa kuitangaza vyema
Month: October 2024

KOCHA wa Singida Black Stars, Patrick Aussems anakabiliwa na kibarua cha kuiongoza timu hiyo kumaliza unyonge dhidi ya Mashujaa kwenye hekaheka za Ligi Kuu Bara

Afisa Mtendaji Mkuu wa WazoHuru Media Ndg Mathias Canal amechangia jumla ya Shilingi Milioni 5 kwa ajili ya kutatua changamoto mbalimbali zinazoikabili shule ya Msingi

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji Profesa Kitila Mkumbo akizungumza wakati wa kupokea taarifa ya mapitio ya rasimu ya Dira ya Taifa

KAMA ulikuwa unawaza nahodha wa Simba, Mohamed Hussein ‘Tshabalala’ anaweza akatundiga daruga hivi karibuni, basi sikia majibu yake. Tshabalala amejibu swali aliloulizwa na Mwanaspoti kutokana

Na Mwandishi Wetu, MLELE Mbunge wa jimbo la Kavuu na Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi mhe. Geophrey Pinda amewataka wananchi kuhifadhi

Mabao matano katika mechi sita alizocheza yamemuamsha straika wa Fountain Gate, Seleman Mwalimu akielezea siri ya mafanikio yake huku akitamba kulinda nafasi yake kikosini na

KAIMU kocha mkuu wa Coastal Union, Joseph Lazaro amewachana wachezaji wanaochipukia kwa timu za Ligi Kuu Bara kwa kusema wanatakiwa kujituma zaidi na zaidi kwa

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa ushirikiano na Shirika la Umoja wa mataifa la Mitaji ya Maendeleo (UNCDF) leo imezindua rasmi awamu ya

PRESHA imeanza kupanda kuelekea dabi ya Kariakoo itakayopigwa Oktoba 19. Kambini Yanga, Kocha Miguel Gamondi kuna jambo linamfanya akune kichwa, lakini hana namna. Simba na