Petroli, dizeli zashuka bei Oktoba

Dar es Salaam. Bei ya petroli na dizeli ya rejareja kwa Oktoba 2024 imeshuka nchini, ikilinganishwa na Septemba, huku sababu kadhaa zikitajwa, ikiwamo kushuka kwa gharama za soko la Uarabuni. Taarifa iliyotolewa na Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura) inaonyesha bei za mafuta kuanzia leo Jumatano Oktoba 2, 2024 kwa yanayochukuliwa…

Read More

TFRA YAWAVUTIA WAWEKEZAJI SEKTA YA MBOLEA KUTOKA OMAN

Na Mwandishi wetu MUSCAT-Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) ni miongoni mwa taasisi zilizoshiriki katika Kongamano la Kibiashara baina ya Tanzania na Oman lenye lengo la kuimarisha ushirikiano wa kibiashara na uchumi baina ya nchi hizo mbili. Kongamano hilo lililohusisha takribani watanzania 300 limefanyika leo Septemba 29, 2024 katika Hoteli ya Sheraton iliyopo mji…

Read More

Staa Srelio aionya Dar City

BAADA ya Srelio kutinga hatua ya robo fainali ya Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), kocha msaidizi wa timu hiyo, Miyasi Nyamoko amesema mkakati waliouweka ni kuhakikisha wanaiondoa Dar City katika hatua hiyo. Srelio imepata nafasi hiyo ni baada ya kuifunga Mgulani JKT kwa pointi 45-35, hali iliyofanya ishike nafasi ya nane…

Read More

wataalam wa haki – Masuala ya Ulimwenguni

Akua Kuenyehia, mwenyekiti wa utaratibu wa wataalam huru wa kuendeleza haki ya rangi Alisema, “Dhihirisho la ubaguzi wa kimfumo dhidi ya Waafrika na watu wa asili ya Kiafrika kwa kutekeleza sheria na katika mifumo ya haki ya jinai bado ni kubwa katika sehemu nyingi za ulimwengu, na kutokujali kwa jumla kunaendelea.” Wakati pia wakishughulika na…

Read More

Tambo za Fyatu Mfyatuzi kwa watekaji

Nikiwa kwenye basi naelekea zangu home, si zikaja njemba saba hivi zikiwa na defender uchwara yenye nambari fiche. Bila hili wala lile, si zikaniamuru nishuke ziniteke. Weee! Nilijiinua kwenye siti na kupiga samasoti za ki-Bruce Lee na kupaa hewani usiambiwe. Bila kufanya ajizi, nilichomoa pingu zangu na kusema “mnarekodiwa na kurushwa mtandaoni live.” Kabla ya…

Read More

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA MAMA WA ABOUBAKARY LIONGO

  Katibu Mkuu wa CCM Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi ameshiriki mazishi ya Mama wa Aboubakary Liongo ambaye yeye ni Afisa Msaidizi Idara ya Itikadi,Mafunzo na Uenezi wa CCM aliyefariki jana na kuzikwa Leo kwenye Makaburi ya kisutu. Katibu Mkuu ameongozana na Katibu wa NEC Oganaizesheni Ndugu Issa Haji Ussi (Gavu)pamoja na Waandishi wa Habari mbalimbali…

Read More