Kaya atua Singida Black Stars

UONGOZI wa Singida Black Stars umemalizana na aliyekuwa Ofisa Mtendaji Mkuu wa Namungo, Omar Kaya ambaye amejiunga na timu hiyo kuongeza nguvu katika uongozi akipewa nafasi ya makamu mwenyekiti. Kaya ambaye ana uzoefu mkubwa wa soka la Tanzania ameungana na timu hiyo siku chache baada ya Agosti 30, mwaka huu kuachia ngazi Namungo kutokana na…

Read More

Mafunzo ya amali mkombozi kwa watoto wenye ulemavu

Dar es Salaam. Serikali imeombwa kuendelea kushirikiana na wadau kuwawezesha watoto wenye changamoto ya ulemavu wa akili na mtindio wa ubongo ili kupata ujuzi kuwawezesha kujiajiri. Pia, imeombwa kutoa elimu kwa jamii, wakiwamo wazazi wa watoto wenye changamoto hizo ili kuondoa unyanyapaa. Mkugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mafiga Women & Youth Development Organization (Mwayodeo), Venance…

Read More

Prisons yafufuka Ligi Kuu ikiizima Fountain Gate

Baada ya kusota katika mechi tano mfululizo bila ya ushindi, hatimaye Tanzania Prisons imeona mwezi kwa kuonja pointi tatu za kwanza kwa kuikanda Fountain Gate mabao 3-2.  Kabla ya mchezo huo, Maafande hao walifululiza matokeo ya sare ya bila kufunga kabla ya kupoteza dhidi ya Namungo bao 1-0 na leo ikicheza nyumbani Sokoine imeibuka na…

Read More

TRA yavuka malengo ukusanyaji kodi robo ya kwanza

Dar es Salaam. Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imetangaza ongezeko la makusanyo ya kodi kwa asilimia 15 kati ya Julai na Septemba 2024 ikilinganishwa na mwaka uliotangulia. Pamoja na hilo, imewaita wanaofanya biashara vyumbani kujisajili ili walipe kodi kabla hatua hazijaanza kuchukuliwa. Kwa mujibu wa TRA, makusanyo ya Julai hadi Septemba mwaka huu ilikiwa na…

Read More

Kikapu taifa kuunguruma Dodoma | Mwanaspoti

Shirikisho la Kikapu Tanzania (TBF) limesema timu 16 zinatarajia kushiriki katika mashindano ya Ligi ya Kikapu ya Taifa (NBL) kuanzia Novemba, mwaka huu katika viwanja vya Chinangali mjini Dodoma. Mwenze Kabinda, katibu mkuu wa TBF ameliambia Mwanaspoti kuwa washindi watakaopatikana watawakilisha nchi katika mashindano ya kimataifa.  Alisema timu nne zilizofuzu kucheza nusu fainali mwaka jana…

Read More

Rais Samia ataka ushirikiano Serikali, sekta binafsi kuboresha huduma za afya

Unguja. Rais Samia Suluhu Hassan amesema licha ya jitihada zinazochukuliwa na Serikali kuboresha huduma za afya kwa wananchi bado kuna changamoto ya utoaji huduma, hivyo ushirikiano wa sekta binafsi utasaidia kuziimarisha. Ametaja changamoto hizo kuwa ni uhaba wa wafanyakazi wenye ujuzi, upungufu wa vifaatiba na uchakavu kwa baadhi ya miundombinu. Rais Samia ametoa kauli hiyo…

Read More

TBS YATOA ELIMU YA VIWANGO KWENYE MAONESHO TIMEXPO

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limeendelea kutoa elimu ya viwango kwa wafanyabiashara,wenye viwanda na wananchi kwa ujumla katika Maonesho ya Wazalishaji wa Bidhaa za Viwanda (TIMEXPO) yanayofanyika katika viwanja vya sabasaba Jjijini Dar es Salaam. Akizungumza na waandishi wa habari leo Oktoba 01,2024 Jijini Dar es salaam kwenye banda lao,…

Read More

Vijana Queens ilivyoifumua DB Troncatti bdl

UKUBWA wa timu ya Vijana Queens katika Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), ulionekana katika mchezo dhidi ya DB Troncatti baada ya kushinda kwa pointi 62-59, mchezo uliopigwa katika Uwanja wa Donbosco, Oysterbay. Wengi wa watazamaji waliofurika katika uwanja huo waliamini Vijana Queens ingepoteza mchezo kutokana na kiwango cha chini ilichoonyesha katika…

Read More