Hasara 10 za kuchelewa kujiandikisha

Dodoma. Kuchelewa au kushindwa kujiandikisha kwa wakati ili kupiga kura kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024 kuna hasara nyingi. Kwa mujibu wa ratiba iliyotolewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Mohamed Mchengerwa, uandikishaji wapigakura utaanza Ijumaa ya wiki ijayo Oktoba 11-20,…

Read More

UN yazindua ombi la msaada la dola milioni 426 huku uvamizi 'kidogo' wa Israel ukiendelea – Masuala ya Ulimwenguni

Kutoka ofisi ya uratibu wa misaada ya Umoja wa Mataifa, OCHAmsemaji Jens Laerke alielezea matukio ya machafuko kote Lebanon wakati watu wakiendelea kukimbia mashambulizi ya anga ambayo yameua zaidi ya watu 1,000 katika muda wa wiki mbili pekee, kulingana na ofisi ya haki za binadamu ya Umoja wa Mataifa. OHCHR. “Tunapaswa kutarajia uhamisho zaidi,” Bw….

Read More

Kongamano la Tanzania Japan kufanyika Oktoba 3,2024 jijini Dar

Mkurugenzi Mtendaji kituo cha uwekezaji Tanzania (TIC), Gilead Teri akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo Oktoba Mosi, 2024 wakati wa kutangaza kongamano la Tanzania Japan katika Miundombinu. Kushoto ni Balozi wa Tanzania Nchini Japan, Baraka Luvanda. Balozi wa Tanzania Nchini Japan, Baraka Luvanda  akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo…

Read More

IDADI YA WAWEKEZAJI YAZIDI KUPAA-TERI

Mkurugenzi Mtendaji wa TIC, Gilead Teri  akizungumza na kuwaonesha waandishi wa habari jinsi wawekezaji wanavyoongezaka nchini. Amezungumza na waandishi jijini Dar es Salaam leo Oktoba Mosi, 2024. KITUO cha Uwekezaji Tanzania (TIC) kimesema hali ya uwekezaji nchini kati ya Aprili hadi June, 2024 imeongezeka hapa nchini. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mtendaji wa TIC, Gilead Teri…

Read More

BRELA YASHIRIKI MAONESHO YA PILI YA KIMATAIFA YA VIWANDA

WAKALA wa Usajili wa Biashara na Leseni imewataka wenye viwanda na makampuni kusajili bidhaa zao kwa lengo la kupata masoko ndani na nje ya nchi katikà Maonesho ya pili ya Kimataifa ya Viwanda yanayofanyika kwenye viwanja vya sabasaba Jijini Dar es Salaam kwaajili ya kupata huduma. Akizungumza na waandishi wa habari kwenye Maonesho hayo leo…

Read More

MAPAMBANO DHIDI YA UKATILI: Kipunguni wabuni mbinu kuwashughulikia wanaokatili watoto

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Sauti nyingi zinapazwa kila uchao kuhusu ustawi wa watoto kutokana na vitendo vya ukatili vinavyoendelea kuripotiwa sehemu mbalimbali nchini ambavyo vingi vinaumiza na kufifisha kizazi kinachotarajiwa kuwa cha kesho. Ripoti ya takwimu za Uhalifu na Usalama Barabarani ya kuanzia Januari hadi Desemba mwaka 2023 iliyotolewa na Jeshi la Polisi Tanzania…

Read More