Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: October 2024

  • Home
  • 2024
  • October
  • Page 178
Habari

‘Vyama vya Ushirika badilikeni’ – Mtanzania

October 1, 2024 Admin

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Serikali imeendelea kutoa msisitizo kwa Vyama vya Ushirika na kuvitaka kujenga misingi imara ya ushirika ili kumlinda mkulima badala ya

Read More
Habari

Polisi Arusha kuchunguza Tukio la Kifo cha Mtu mmoja Eneo la Moivaro.

October 1, 2024 Admin

Na. Mwandishi Jarshi la Polisi Arusha. Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha linafanya uchunguzi wa kifo cha mtu aitwaye David Mollel mwenye umri unaokadiriwa kuwa

Read More
Habari

Kabendera kukata rufaa kesi yake dhidi ya Vodacom

October 1, 2024 Admin

  MWANDISHI wa Habari za uchunguzi nchini, Erick Kabendera, amesema anakusudia kukata rufaa katika Mahakama ya Rufaa nchini kupinga uamuzi wa Mahakama Kuu ya Tanzania,

Read More
Habari

BREALA yawataka wamiliki wa viwanda, kampuni kusajili bidhaa zao

October 1, 2024 Admin

Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital WAKALA wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) imewataka wamiliki wa viwanda na kampuni kusajili bidhaa zao ili kupata masoko

Read More
Habari

Ndege ya kwanza kutengenezwa Tanzania yaanza safari zake

October 1, 2024 Admin

Kampuni ya Airplanes Africa Limited (AAL) yenye makao yake Morogoro, imetangaza kuwa ndege tatu za kwanza zilizotengenezwa Tanzania, zinazojulikana kama Skyleader 600, zimeanza rasmi safari

Read More
Habari

Bunge la Kenya lapokea hoja ya kumuondosha makamu wa rais – DW – 01.10.2024

October 1, 2024 Admin

Muda mfupi kabla saa 9:00, Spika wa Bunge la Taifa, Moses Wetangula, alifungua kikao ili kuupisha mjadala wa kumtimua Naibu Rais Rigathi Gachagua. ikao kilijaa

Read More
Kimataifa

Kiwango Kikubwa cha Visiwa Vidogo Vinavyopigania Fedha za Hali ya Hewa – Masuala ya Ulimwenguni

October 1, 2024 Admin

Sehemu ya Castries, Saint Lucia. Kupitia NDCs kabambe, SIDS kama Saint Lucia wanatarajia kuimarisha uthabiti na kulinda uchumi na miundombinu yao. Upatikanaji wa ufadhili wa

Read More
Habari

Hezbollah yakana uvamizi wa Israel nchini Lebanon – DW – 01.10.2024

October 1, 2024 Admin

Afif amesema hayo wakati taarifa nyingine kutoka IDF zikisema mchana huu kwamba vikosi vyake vimekuwa vikifanya uvamizi kusini mwa Lebanon kwa miezi kadhaa, na kugundua mahandaki

Read More
Habari

Rais wa zamani wa Marekani Jimmy Carter asherehekea umri wa miaka 100

October 1, 2024 Admin

Rais wa zamani wa Marekani  Jimmy Carter amesherehekea siku yake ya kuzaliwa ya 100 siku ya Jumanne Ni rais wa kwanza kabisa wa Marekani kufikisha

Read More
Habari

Wanawake, Vijana watengewa bilioni 1/= Karatu

October 1, 2024 Admin

  HALMASHAURI ya Wilaya ya Karatu, mkoani Arusha imetenga Sh. 1.1 bilioni, kwa ajili ya mikopo ya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu kwa mwaka

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 177 178 179 … 184 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.