Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: October 2024

  • Home
  • 2024
  • October
  • Page 179
Habari

Polisi Arusha kuchunguza tukio la kifo cha mtu mmoja eneo la Moivaro

October 1, 2024 Admin

Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha linafanya uchunguzi wa kifo cha mtu aitwaye David Mollel mwenye umri unaokadiriwa kuwa kati ya miaka 50 hadi 55

Read More
Habari

Waandamanaji Nigeria wasambaratishwa kwa mabomu ya machozi

October 1, 2024 Admin

Maandamano kuhusu matatizo ya kiuchumi yaliongeza kasi nchini Nigeria siku ya Jumanne wakati nchi hiyo ikipambana na mzozo mbaya zaidi wa kiuchumi kuwahi kutokea katika

Read More
Habari

Ulinzi mkali kesi ya ‘Boni Yai’

October 1, 2024 Admin

  Askari Magereza wameweka ulinzi mkali kumlinda Meya wa zamani wa Kinondoni na Ubungo (CHADEMA), Boniface Jacob ‘Boni Yai’, anayekabiliwa na mashtaka mawili, katika mahakama

Read More
Habari

NMB yakabidhi madawati, vitanda na magodoro vya Mil. 60/- Muheza

October 1, 2024 Admin

Na Mwandishi wetu Tanga,  Naibu waziri Mkuu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania na Waziri wa Nishati Dkt.Dotto Biteko amewataka wazazi na walezi Nchini kuhakikisha

Read More
Habari

Bima ya afya ‘kwa wote’ yaanza kutumika Kenya

October 1, 2024 Admin

  WAKENYA wamefungua ukurasa mpya baada ya bima mpya ya afya kuanza kutumika leo, ambayo inatoa fursa ya matibabu kwa wananchi wote. Inaripoti Mitandao ya

Read More
Habari

DC LUDEWA AWASILISHA TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA ILANI

October 1, 2024 Admin

Katika kuhakikisha kuwa utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM kwa mwaka 2020 – 2025 unaendelea kwa ubora na kusimamia vyema, Mkuu wa Wilaya ya

Read More
Habari

Israel yaanza uvamizi wa ardhini kusini mwa Lebanon

October 1, 2024 Admin

  ISRAEL imeanza operesheni ya ardhini kusini mwa Lebanon, kwa mashambulizi madogo, ya ndani na yanayolenga maeneo ya Hezbollah, jeshi la Israel limesema. Inaripoti Mitandao

Read More
Habari

ORYX GAS YAENDELEA KUHAMASISHA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA MKOANI MBEYA – MWANAHARAKATI MZALENDO

October 1, 2024 Admin

SPIKA wa Bunge na Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini Dkt.Tulia Ackson amesema lengo la kuhamasisha watanzania kupikia nishati safi ni kuunga mkono kampeni ya

Read More
Habari

DKT. TULIA APONGEZA JITIHADA ZA ORYX GAS KUHAMASISHA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA

October 1, 2024 Admin

SPIKA wa Bunge na Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini Dkt.Tulia Ackson amesema lengo la kuhamasisha watanzania kupikia nishati safi ni kuunga mkono kampeni ya

Read More
Habari

Piga mshindo na mechi za UEFA leo

October 1, 2024 Admin

  Baada ya wikendi hii kushuhudia mechi mbalimbali zikipigwa sasa ni muda wa ligi ya mabingwa Ulaya ambapo timu nyingi kuchezwa leo huku nafasi yako

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 178 179 180 … 184 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.