Waandamanaji Nigeria wasambaratishwa kwa mabomu ya machozi

Maandamano kuhusu matatizo ya kiuchumi yaliongeza kasi nchini Nigeria siku ya Jumanne wakati nchi hiyo ikipambana na mzozo mbaya zaidi wa kiuchumi kuwahi kutokea katika kizazi. Polisi walifyatua gesi ya kutoa machozi kuvunja umati wa watu katika mji mkuu Abuja, wakati waliojitokeza walikuwa wachache nchini kote. Maandamano hayo yaliyopewa jina la “Siku ya Kitaifa ya…

Read More

Ulinzi mkali kesi ya ‘Boni Yai’

  Askari Magereza wameweka ulinzi mkali kumlinda Meya wa zamani wa Kinondoni na Ubungo (CHADEMA), Boniface Jacob ‘Boni Yai’, anayekabiliwa na mashtaka mawili, katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. Anaripoti Faki Sosi, Dar es Salaam … (endelea). Mapema saa tatu asubuhi, gari la Magereza liliwasili katika viunga vya mahakama hiyo, huku Boni Yai akiwa analindwa…

Read More

Bima ya afya ‘kwa wote’ yaanza kutumika Kenya

  WAKENYA wamefungua ukurasa mpya baada ya bima mpya ya afya kuanza kutumika leo, ambayo inatoa fursa ya matibabu kwa wananchi wote. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea). Akizindua rasmi mpango na bima hiyo mpya ya afya katika Kaunti ya Kakamega, Waziri wa Afya wa Kenya, Debra Barasa, amesema lengo la serikali ni kuwapa huduma…

Read More

DC LUDEWA AWASILISHA TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA ILANI

Katika kuhakikisha kuwa utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM kwa mwaka 2020 – 2025 unaendelea kwa ubora na kusimamia vyema, Mkuu wa Wilaya ya Ludewa Olivanus Thomas amewasilisha taarifa ya utekelezaji huo mbele ya wajumbe wa mkutano wa Halmashauri kuu ya Chama Cha Mapinduzi Wilayani Ludewa Mkoani Njombe, ambapo miongoni mwa miradi iliyoelezewa ni…

Read More

Israel yaanza uvamizi wa ardhini kusini mwa Lebanon

  ISRAEL imeanza operesheni ya ardhini kusini mwa Lebanon, kwa mashambulizi madogo, ya ndani na yanayolenga maeneo ya Hezbollah, jeshi la Israel limesema. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea). Leo, vyombo vya habari vya kimataifa vimechapisha picha zinazoonesha msururu wa vifaru na magari ya kijeshi yakielekea Lebabon. Akizungumza katika kipindi cha BBC Radio 4 cha…

Read More

Piga mshindo na mechi za UEFA leo

  Baada ya wikendi hii kushuhudia mechi mbalimbali zikipigwa sasa ni muda wa ligi ya mabingwa Ulaya ambapo timu nyingi kuchezwa leo huku nafasi yako ya kutusua na Meridianbet ikiwa ni kubwa. Mechi za UEFA mapema kabisa leo ni zile zinazopigwa majira ya saa moja usiku ambapo VFB Stuttgart baada ya kupoteza mchezo wake wa…

Read More