Wananchi wa Kawaida EAC Kuwezeshwa mifumo rahisi ya Fedha Mtandao

Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki Dkt. Abdallah Makame asema wananchi wengi wa kawaida wa nchi wanachama wa jumuiya ya afrika mashariki wakiwezeshwa kutumia mfumo wa Fedha kwa Mtandao wataweza kujinasua katika umasikini na kuboresha maisha yao. “Tunaangalia hayo kwani wenzetu wengi wananchi wa Kawaida wanataka kujinasua na kujikwamua kutoka katika umasikini na waweze kuboresha…

Read More

SERIKALI INAWAJIBU WA KULINDA RASILIMALI ZA ASILI : DKT. MASANJA

Serikali ina wajibu wa kutunga sheria zinazolenga kulinda rasilimali za asili ikiwemo; misitu,wanyamapori.ardhi, na vyanzo vya maji dhidi ya uharibifu, unaofanywa na shughuli za kibinadamu ikiwa na lengo la kuhakikisha kuwa rasilimali hizi zinatumika kwa manufaa ya taifa nzima. Hayo yamesemwa na Kamishna wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Mhe.Dkt.Thomas Masanja wakati…

Read More

Mapinduzi ya Julai nchini Bangladesh Yametokana na Falsafa ya Meta-Modernist – Masuala ya Ulimwenguni

Habib Siddiqui Maoni na Mawdudur Rahman, Habib Siddiqui (boston / philadelphia) Jumatatu, Oktoba 28, 2024 Inter Press Service BOSTON/PHILADELPHIA, Oktoba 28 (IPS) – Wanafunzi na watu wa kawaida wa Bangladesh walithubutu kufanya kitu katika siku 36 za Julai-Agosti ambacho kilionekana kuwa hakiwezekani na watu wengi siku chache tu kabla ya Agosti 5, 2024. Walisema ‘inatosha….

Read More

Viongozi wa Dini kuimarisha elimu ya afya ya magonjwa ya milipuko kwa waumini

Viongozi wa dini wameahidi kushirikiana na Serikali katika kuendelea kutoa elimu kwa waumini wao kuhusu magonjwa ya milipuko kama kipindupindu, Marburg, na mpox. Ahadi hiyo imetolewa katika mkutano uliofanyika Oktoba 26 jijini Dar es Salaam, ambapo Waziri wa Afya, Jenister Muhagama, aliwakilishwa na Naibu Waziri Dk. Godwin Mollel. Mkutano huo ulilenga kuweka tahadhari dhidi ya…

Read More