Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: October 2024

  • Home
  • 2024
  • October
  • Page 180
Habari

Polisi wakamata shehena ya mafuta ya kula baharini

October 1, 2024 Admin

  JESHI la Polisi, Kikosi cha Wanamaji Dar es Salaam, limekamata mafuta ya kula lita 20,400 na watuhumiwa 11, waliokuwa wanayasafirisha kwa njia za magendo

Read More
Habari

Tuna Sababu ya Ziada Kuandika Historia ya Sokoine – Rais Samia

October 1, 2024 Admin

Na Lilian Lundo – MAELEZO Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema kuna sababu ya ziada za kuandika historia

Read More
Habari

Bima ya afya ya umma yaanza Kenya – DW – 01.10.2024

October 1, 2024 Admin

Akizindua rasmi mpango na bima hiyo mpya ya afya katika Kaunti ya Kakamega, Waziri wa Afya wa Kenya, Debra Barasa, aliutetea mfumo huo aliosema azma yake

Read More
Habari

Watu saba wauawa kwa shambulizi la Urusi nchini Ukraine – DW – 01.10.2024

October 1, 2024 Admin

Watu saba wameuawa nchini Ukraine katika shambulizi la Urusi lililolenga katikati ya mji wa Kherson ulio kusini mwa Ukraine. Hayo yamesemwa na ofisi ya mwendesha

Read More
Michezo

Ateba: Siri ya Simba ni hii tu

October 1, 2024 Admin

Simba SC imeanza msimu wa 2024/2025 kwa kishindo ikilinganishwa na msimu uliopita, ikiwa imecheza mechi sita na kuonyesha kiwango bora licha ya kuwa na wachezaji

Read More
Habari

WAZIRI CHANA AZINDUA MRADI WA MAJI KILEWANI WA SHILINGI MILIONI 597.6

October 1, 2024 Admin

Waziri wa Maliasili na Utalii,  Mhe. Balozi, Dkt. Pindi Chana (Mb) ameweka jiwe la msingi na kuzindua Mradi wa Maji wa Kilewani wenye gharama ya

Read More
Michezo

Samatta arudishwa Stars kuivaa DR Congo

October 1, 2024 Admin

KAIMU kocha mkuu wa timu ya Taifa Stars, Hemed Morocco ametangaza kikosi cha wachezaji 23 watakaoshiriki katika maandalizi ya michezo miwili ya kuwania nafasi ya

Read More
Habari

WASIMAMIZI WASAIDIZI WA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA WAONYWA KUJIHUSISHA NA RUSHWA.

October 1, 2024 Admin

NA WILLIUM PAUL, SAME. MKUU wa wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro Kasilda Mgeni amewataka wasimamizi wasaidizi wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa mwaka 2024

Read More
Michezo

Chama la Wana wapata mzuka

October 1, 2024 Admin

Stand United ‘Chama la Wana’ ya Shinyanga imeanza kwa kishindo Ligi ya Championship kwa kushinda mechi mbili na kuvuna pointi sita, huku wafungaji wa mabao

Read More
Habari

Mahakama yatupa ombi la Serikali kesi ya Boni Yai, uamuzi Oktoba 7

October 1, 2024 Admin

Dar es Salaam. Dhamana ya Meya wa zamani wa Kinondoni na Ubungo jijini Dar es Salaam, Boniface Jacob, maarufu Boni Yai bado ni kitendawili baada ya

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 179 180 181 … 184 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.