Polisi wakamata shehena ya mafuta ya kula baharini

  JESHI la Polisi, Kikosi cha Wanamaji Dar es Salaam, limekamata mafuta ya kula lita 20,400 na watuhumiwa 11, waliokuwa wanayasafirisha kwa njia za magendo kutoka bandari bubu ya Zanzibar kuelekea bandari bubu ya Kunduchi. Anaripoti Restuta James, Dar es Salaam … (endelea). Taarifa ya kamanda wa kikosi hicho, Moshi Sokoro, kwa umma jana ilieleza…

Read More

Bima ya afya ya umma yaanza Kenya – DW – 01.10.2024

Akizindua rasmi mpango na bima hiyo mpya ya afya katika Kaunti ya Kakamega, Waziri wa Afya wa Kenya, Debra Barasa, aliutetea mfumo huo aliosema azma yake ni “kuwapa huduma za afya Wakenya wote.” Mapema wiki hii, Kamati ya Afya ya Bunge iliupa ridhaa mpango huo mpya baada ya hoja za kamati hiyo kuhusu utendakazi kujibiwa. Soma zaidi: Kenya yarekodi…

Read More

Ateba: Siri ya Simba ni hii tu

Simba SC imeanza msimu wa 2024/2025 kwa kishindo ikilinganishwa na msimu uliopita, ikiwa imecheza mechi sita na kuonyesha kiwango bora licha ya kuwa na wachezaji wapya 14 kwenye kikosi chao.  Ushindi wa mechi nne mfululizo za Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Tabora United (3-0), Fountain Gate (4-0), Azam FC (2-0) na Dodoma Jiji (1-0),…

Read More

Samatta arudishwa Stars kuivaa DR Congo

KAIMU kocha mkuu wa timu ya Taifa Stars, Hemed Morocco ametangaza kikosi cha wachezaji 23 watakaoshiriki katika maandalizi ya michezo miwili ya kuwania nafasi ya kufuzu fainali za Mataifa ya Afrika (Afcon 2025) dhidi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DR Congo).  Tanzania ambayo ipo kundi H ikiwa na pointi nne baada ya kutoka suluhu…

Read More

Chama la Wana wapata mzuka

Stand United ‘Chama la Wana’ ya Shinyanga imeanza kwa kishindo Ligi ya Championship kwa kushinda mechi mbili na kuvuna pointi sita, huku wafungaji wa mabao mawili ya timu hiyo wameapa kuendelea kuwa tishio kwa timu pinzani msimu huu. Katika mechi mbili dhidi ya Kiluvya United na Transit Camp FC, Chama la Wana limefunga mabao mawili…

Read More