Wanne jela miaka 20 kila mmoja kwa kupatikana na heroini

Arusha. Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, Masjala Ndogo ya Mtwara, imewahukumu kifungo cha miaka 20 jela washitakiwa wanne baada ya kuwatia hatiani kwa kosa la kusafirisha dawa za kulevye aina ya heroini gramu 7,992.82. Hukumu hiyo imetolewa Septemba 25, 2024 na Jaji Martha Mpaze katika kesi ya uhujumu uchumi namba…

Read More

Bigman hawataki unyonge Championship | Mwanaspoti

KOCHA wa Bigman, Salhina Mjengwa amesema hawajapoteza matumaini kwenye Ligi ya Championship licha ya kuambulia pointi moja katika michezo miwili akiahidi kutafuta suluhu kwenye uwanja wa mazoezi ili waanze kuvuna alama tatu. Timu hiyo ambayo ni msimu wake wa kwanza kwenye mashindano hayo baada ya kupanda daraja, awali ikijulikana kwa jina la Mwadui FC, mwishoni…

Read More

Mbuzi walivyovumbua kahawa | Mwananchi

Dar es Salaam. Kwa wanaokunywa kahawa leo ni siku yao maalumu ya kujipongeza kwani dunia inaadhimisha Siku ya Kahawa. Kila mwaka ifikapo Oktoba mosi dunia huadhimisha Siku ya Kahawa Duniani. Kahawa inayotoka Afrika imekuwa ikisafirishwa hadi kwenye vikombe vya chai za asubuhi za kaya zote duniani kwa zaidi ya miaka 600 sasa. Mchakato wa kuandaa…

Read More

Wanafunzi 3,000 kudahiliwa IFM Chato

  WANAFUNZI 3,000 wanatarajiwa kujiunga na Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM), kampasi ya Geita, iliyopo mtaa wa Mlimani, kata ya Muungano, wilayani Chato. Anaripoti Mwandishi Wetu, Geita … (endelea). Mkuu wa Chuo hicho, Prof. Josephat Lotto, amesema hayo wakati akitoa taarifa ya mradi kwa kiongozi wa mbio za mwenge kitaifa, Godfrey Mnzava, aliyefika kukagua…

Read More