Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: October 2024

  • Home
  • 2024
  • October
  • Page 181
Habari

Wanne jela miaka 20 kila mmoja kwa kupatikana na heroini

October 1, 2024 Admin

Arusha. Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, Masjala Ndogo ya Mtwara, imewahukumu kifungo cha miaka 20 jela washitakiwa wanne baada ya

Read More
Michezo

Bigman hawataki unyonge Championship | Mwanaspoti

October 1, 2024 Admin

KOCHA wa Bigman, Salhina Mjengwa amesema hawajapoteza matumaini kwenye Ligi ya Championship licha ya kuambulia pointi moja katika michezo miwili akiahidi kutafuta suluhu kwenye uwanja

Read More
Habari

Assange azungumza hadharani kwa mara ya kwanza – DW – 01.10.2024

October 1, 2024 Admin

Assange amesema aliachiwa huru baada ya miaka mingi kifungoni pale alipokiri makosa ya kuwa  “mwandishi wa habari”, katika hotuba yake amesisitiza na kuonya kwamba uhuru

Read More
Habari

Mwanafunzi mbaroni akidaiwa kumjeruhi mwenzake na bisibisi  

October 1, 2024 Admin

Musoma. Jeshi la Polisi Mkoa wa Kipolisi wa Tarime Rorya linamshikilia mwanafunzi wa kidato cha nne wa Shule ya Sekondari ya Sirari iliyopo wilayani Tarime,

Read More
Habari

Israel yaingia kijeshi Lebanon “kuisambaratisha Hezbollah” – DW – 01.10.2024

October 1, 2024 Admin

Maafisa wa jeshi la Israel wamesema oparesheni ya ardhini nchini Lebanon inahusisha uvamizi kwenye maeneo machache ambayo wanasema ni kitisho kwa usalama wa Israel. Wanajeshi

Read More
Habari

WAZIRI JAFO ATETA NA BALOZI WA INDIA NCHINI TANZANIA

October 1, 2024 Admin

Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe.Dkt.Selemani Jafo (Mb) amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa India Nchi Tanzania Mhe.Bishwadip Dey na ujumbe wake katika Ofisi

Read More
Habari

Mbuzi walivyovumbua kahawa | Mwananchi

October 1, 2024 Admin

Dar es Salaam. Kwa wanaokunywa kahawa leo ni siku yao maalumu ya kujipongeza kwani dunia inaadhimisha Siku ya Kahawa. Kila mwaka ifikapo Oktoba mosi dunia

Read More
Habari

DKT.KISENGE:UVUTAJI SIGARA NA UNYWAJI WA POMBE NI HATARI KWA MJAMZITO

October 1, 2024 Admin

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akimpa zawadi mtoto aliyelazwa katika wodi ya wagonjwa maalumu (VIP Ward) ikiwa ni

Read More
Habari

Wanafunzi 3,000 kudahiliwa IFM Chato

October 1, 2024 Admin

  WANAFUNZI 3,000 wanatarajiwa kujiunga na Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM), kampasi ya Geita, iliyopo mtaa wa Mlimani, kata ya Muungano, wilayani Chato. Anaripoti

Read More
Habari

Wawili wafariki dunia Ziwa Victoria wakitokea kwa mganga wa kienyeji

October 1, 2024 Admin

Musoma. Watu wawili wamefariki dunia baada ya mtumbwi waliokuwa wakisafiria kuzama kwenye Ziwa Victoria katika Kijiji cha Burere wilayani Rorya Mkoa wa Mara, huku wengine

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 180 181 182 … 184 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.