
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU KUANZA KWA SHUGHULI ZA KAMATI ZA BUNGE OKTOBA 2024
Home » TAARIFA KWA UMMA KUHUSU KUANZA KWA SHUGHULI ZA KAMATI ZA BUNGE OKTOBA 2024 About the author
Home » TAARIFA KWA UMMA KUHUSU KUANZA KWA SHUGHULI ZA KAMATI ZA BUNGE OKTOBA 2024 About the author
Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imetupilia mbali maombi ya Serikali kuwasilisha kiapo cha ziada katika kiapo cha awali cha kupinga dhamana ya aliyewahi kuwa Meya wa Kinondoni na Ubungo, Boniface Jacob, maarufu kama Boni Yai. Jacob, maarufu kama Boni Yai, mkazi wa Mbezi Msakuzi, Dar es Salaam, mfanyabiashara na mwanasiasa, anakabiliwa na…
Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe.Dkt.Selemani Jafo (Mb) amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Italia nchini Tanzania Mhe.Guiseppe Sean Coppola na ujumbe wake katika Ofisi ndogo ya Wizara Jijini Dar es Salaam, Septemba 30,2024. Mazungumzo hayo yamelenga kuongeza ushirikiano wa kibiashara hasa katika biashara ya mazao ya kilimo ikiwemo kahawa , pamoja na kubadilishana…
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imepanga October 7, 2024 kutoa uamuzi juu ya dhamana ya Meya wa zamani, Boniface Jacob baada ya hii leo kutupilia mbali maombi ya Serikali juu kiapo cha ziada katika kiapo cha awali. Nje ya mahakama, Wakili wa utetezi Peter Kibatala amezungumza na vyombo vya habari kuhusu hoja za serikali zilizotupiliwa…
Mwanzoni mwa mkutano wa mwaka wa chama hicho mjini Birmingham, wagombea hao wanne, wanaowajumuisha waziri wa zamani wa uhamiaji Robert Jenrick na mwenzake wa biashara, Kemi Badenoch, waliwasilisha azma yao ya kutaka nafasi ya kiongozi mpya wa chama hicho . Baada yake miaka 14 madarakani kumalizwa kwa ushindi mkubwa wa chama cha Labour mwezi Julai,…
Julai 2023, Rutte alitangaza kujiuzulu wadhifa wake wa waziri mkuu wa Uholanzi na miezi michache baadaye akaanza kudhihirisha nia yake ya kumrithi Katibu Mkuu wa NATO, Jens Stoltenberg, ambaye alitangaza kuachia wadhifa huo ifikapo Septemba 2024. Kwa miezi kadhaa, Rutte aliendesha kampeni yake ndani ya muungano wa NATO, huku viongozi wengi wakiwa tayari wanamfahamu alipokuwa waziri mkuu wa…
Uimara wa safu za ulinzi ulioonyeshwa na Simba na Yanga katika mechi za mwanzo za msimu unaashiria ushindani mkubwa ambao utakuwepo baina ya timu hizo mbili katika mashindano mbalimbali ambayo zinashiriki. Tofauti na mechi za mwanzo za msimu uliopita, safari hii kila timu inaonekana kuwa imara zaidi katika eneo hilo na hilo linathibitishwa na takwimu…
Zaidi ya shilingi bilioni 6.7 zimetumika katika ujenzi wa shule za sekondari 10 katika wilaya ya Muheza mkoa wa Tanga katika kipindi cha maka mitatu ya serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan,Raia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Shule hizo zimejengwa katika kata 10 kati ya 13 za wilaya…
Mashabiki wa timu ya Simba na Yanga halmshauri ya Mpimbwe Wilaya ya Mlele mkoani Katavi wameoneshana ubabe katika tamasha maalum la kuhamasisha watu kushiriki zoezi.la kujiandikisha katika orodha ya wapiga kura kuanzia octoba 11 hadi 20 maandalizi ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika novemba 27 mwaka huu Akizungumza katika tamasha Hilo mgeni…
Mwezi Julai mwaka 2023, Mark Rutte alitangaza kujiuzulu katika wadhifa wake wa Waziri Mkuu wa Uholanzi na miezi michache baadaye akaanza kudhihirisha nia yake ya kumrithi Katibu Mkuu wa NATO Jens Stoltenberg, ambaye alitangaza kuachia wadhifa huo Septemba mwaka huu wa 2024. Kwa miezi kadhaa, Rutte aliendesha kampeni yake ndani ya muungano wa NATO, huku…