Beki Simba amtaka John Bocco

BEKI wa Simba, Abdulrazack Hamza amesema anatamani kumuona mshambuliaji wa JKT Tanzania, John Bocco katika benchi la timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ ili kuwasaidia wachezaji chipukizi kujifunza kutoka kwake. Hamza ameyazungumza hayo katika mahojiano na Mwanaspoti baada ya kuulizwa ni mshambuliaji gani anayemkubali muda wote na hapo amejibu: “Namkubali Bocco kutokana na rekodi…

Read More

Kipa Ken Gold amuota Chama

LICHA ya matokeo wanayopitia Ken Gold, lakini kipa wa timu hiyo, Castor Mhagama amesema anaridhishwa na kiwango chake huku akimtaja kiungo wa Yanga, Clatous Chama kumpa wakati mgumu walipokutana majuzi kwenye Uwanja wa Sokoine. Mhagama ambaye anacheza Ligi Kuu kwa mara ya kwanza amekuwa na kiwango bora huku akionekana kuaminiwa kikosini kwa kupewa nafasi chini…

Read More

Maajabu 48 ya Yanga | Mwanaspoti

LICHA ya Yanga kuendelea kupata ushindi katika Ligi Kuu Bara msimu huu, lakini mashabiki wa timu hiyo wanaonekana kutoridhishwa na idadi ya mabao yanayofungwa japo kocha Miguel Gamondi amesisitiza anachoangalia ni pointi tatu pekee. Mabingwa hao watetezi walianza kuifunga Kagera Sugar 2-0, kisha 1-0 dhidi ya KenGold na ushindi kama huo dhidi ya KMC ambayo…

Read More

Fadlu aijibu Yanga akiandika rekodi Simba

KOCHA Mkuu wa Simba, Fadlu Davids anafahamu kwamba Oktoba 19 mwaka huu ana kibarua cha kukutana na Yanga katika mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaochezwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam wakiwa wenyeji. Wekundu wa Msimbazi wameshinda mechi zote nne za Ligi Kuu Bara tangu ulipoanza msimu huu na bahati nzuri kwao ni…

Read More

Fifa yamfungia Eto’o miezi sita

  SHIRIKISHO la Soka la Kimataifa (Fifa) limempiga marufuku gwiji wa soka nchini Cameroon, Samuel Eto’o kuanzia Jumatatu hii kuhudhuria michezo yoyote ya timu ya taifa kwa miezi sita. Eto’o, ambaye amekuwa rais wa shirikisho la soka la Cameroon tangu 2021, amekabiliwa na mashtaka mawili kutokana na tukio kwenye mashindano ya Kombe la Dunia kwa…

Read More

Ndege ya kwanza kutengezwa Tanzania yaanza safari zake

Kampuni ya Airplanes Africa Limited (AAL) yenye makao yake Morogoro, imetangaza kuwa ndege tatu za kwanza zilizotengenezwa Tanzania, zinazojulikana kama Skyleader 600, zimeanza rasmi safari zake ndani na nje ya nchi. Mkurugenzi wa AAL, Bw David Grolig amesema kuwa ndege moja kati ya hizo tatu imetua kwa mara ya kwanza kwenye uwanja Ndege wa Kimataifa…

Read More