Pre-Form One na msimu wa shule binafsi ‘kupiga fedha’

Baada ya kumalizika kwa mitihani ya kuhitimu darasa la saba, wazazi kote nchini Tanzania wanapata furaha isiyo kifani kuona watoto wao wamevuka hatua hiyo muhimu katika safari ya elimu. Picha za pongezi zimejaa kwenye mitandao ya kijamii, zikionesha furaha, matumaini, na fahari ya wazazi wanaojiandaa kupeleka watoto wao kwenye ngazi ya sekondari. Miaka saba ya…

Read More

Jina Dodoma na kisa cha tembo aliyezama

Dodoma. Mkoa wa Dodoma ndiyo makao makuu ya nchi ya Tanzania, ukiwa umeanzishwa miaka ya 1900. Pamoja na ukongwe wake mkoa huu hasa Jiji la Dodoma, limebeba mambo mengi ya kihistoria ikiwemo majengo, mitaa na maeneo mengi ya kihistoria ambayo yanatumika mpaka sasa na yana ubora ule ule wa mwanzo. Miongoni mwa majengo ya kale…

Read More

Mzungu aliposhindwa kutamka songela akaita Songea

Songea ndio mji unaoubeba Mkoa wa Ruvuma ambao kabla ya uhuru ulikuwa sehemu ya jimbo la kusini sambamba na Mtwara na Lindi. Kwa mujibu wa Chifu wa Wangoni, Imanuel Zulu, jina Songea lilitokana  na neno songela linalomaanisha mlango na kwamba  mtawala wa kwanza wa Wangoni  Chifu Inkosi Mputa  bin Gwazerapasi Gama, aliwafungulia watu mlango kuingia…

Read More

Kizungumkuti dhamana ya ‘Boni Yai’ leo tena

Dar es Salaam. Sakata la dhamana ya Meya wa zamani wa Kinondoni na Ubungo jijini Dar es Salaam, Boniface Jacob, linatarajiwa kuendelea tena leo Jumanne, Oktoba mosi, 2024 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Dar es Salaam, Kisutu. Jacob, maarufu Boni Yai, mkazi wa  Mbezi Msakuzi, Dar es Salaam, mfanyabiashara na mwanasiasa wa upinzani…

Read More

Wanawake Stendi ya Magufuli walia kunyanyaswa, kuombwa rushwa

Dar es Salaam.  Wanawake wanaofanya kazi za ujasiriamali na usafirishaji katika kituo kikuu cha mabasi Magufuli, jijini Dar es Salaam wameeleza magumu wanayokumbana nayo kituoni hapo. Wametaja unyanyaswaji kijinsia, kuombwa rushwa ya ngono, kudharauliwa kuwa ni miongoni mwa changamoto zinazowapa wakati mgumu katika kazi zao. Wanawake hao ambao ni mama lishe, wabeba mizigo, makarani na…

Read More