SIKU YA VIWANGO DUNIANI: TBS YASISITIZA UMUHIMU WA USHIRIKI WA WANANCHI KATIKA UANDAAJI WA VIWANGO

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV KATIKA kuadhimisha Siku ya Viwango Duniani, Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limewataka wadau na wananchi kwa ujumla kushiriki katika kuandaa na kutoa maoni wakati kiwango kikiwa katika mchakato wa utengenezaji ili kiwango kinapotangazwa kikidhi mahitaji ya jamii . Wito huo umetolewa leo Oktoba 28, 2024 Jijini Dar es Salaam na…

Read More

Vijana wanaougua saratani waongezeka, Kenya – DW – 28.10.2024

Rita Opondo, (23) aligundua kuwa anaugua saratani ya matiti alipofika kufanyiwa vipimo baada ya kuhisi uvimbe kwenye titi lake. Baada ya vipimo hivyo, alipata mawazo mengi na hasa alipoelezwa kwamba atakatwa titi lake. Kama haitoshi, kizingiti kingine kilikuwa ni kuwaarifu ndugu zake ambao tayari walimpoteza mmoja wao kutokana na ugonjwa huu, mbali na gharama kubwa za matibabu. Wahudumu wa afya wanasema…

Read More

REA yajivunia kufikisha umeme vijiji 785 Mtwara

Na Mwandhishi Wetu Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA), imefanikiwa kufanikiwa kufikisha umeme katika vijiji vyote 785 katika Mkoa wa Mtwara. Akizungumza wakati wa hafla ya kuwasha umeme katika Kijiji cha Makome A ambacho ndio kijiji cha mwisho kuunganishwa na nishati ya umeme katika mkoa huo leo Oktoba 28, 2024, Mkuu wa Mkoa wa…

Read More

Jafo Aridhishwa Na Kasi Ya Mtambo Mpya Wa ALAF

Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt Selemani Jafo (kushoto) akizungumza wakati wa ziara yake katika Kiwanda cha ALAF Limited alipoenda kukagua ujenzi wa mtambo mpya wa rangi wa kiwanda hicho. Kushoto kwa waziri ni Afisa Mtendaji Mkuu wa ALAF Limited Ashish Mistry pamoja na sehemu ya menejimenti ya kampuni hiyo na wageni wengine walioshiriki katika…

Read More